😂😂
now nimefahamu ata jeshi hukupita.. salute left arm Iko straight(no fist), elbow inacros chest... Na mkono unaishia nyuma ya skio hnaiita salute?? ,
Damas,
Stop beating around the bush.....
Sote tunajua wananchi walikua wanafagilia,wanashabikia na kuzisifia kazi za wasanii kipindi chote Cha campaign.
Kuwa na chama haikuwa issue, na ni haki yao kikatiba, ila kukaa kimya kipindi wananchi wanauwawa was the issue the problem started baada...
Naona mnaleta udini wa kipumbavu kwenye mambo ya msingi. TEC walikua wanatoa matamko hata kipindi Cha magufuli.. na yeye alikua muislam??. Kikwete hakupingwa na wananchi Kwa kiasi hiki ingawa alikua muislamu... Msilete udini watu wanapoonesha incompetence ya shoga enu.
Ungekua unajua namna ambavyo shauri liliendeshwa bila ya kuwepo Kwa wakili yoyote upande wa utetezi (chadema) na hukumu ikatoka kuzuia mali usingekuja kubwabwaja upuuzi huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.