Kaka Yerico ebu cheki namba ya hiyo gari vizuri hatuna namba ya gari ambayo inazidi T999...so kama ni efu mbili na kitu na wasiwasi kuwa ni namba feki. Asante tuwe makini
Wewe Hansard inaonekana wewe ni UHAROO vibaya sana na ujui unacho kifanya .....yawezekana umepata ajira Lumumba soon ...hata buku 7 sidhani kama unapewa ....nimeona UZI wako mmoja umeruka ..Mods wakaamua kuutoa kabisa ...now naona unachangia the same Uharo ile mbaya....JF ni sehemu GT...we...
Tuntemeke, Mimi nipo Kahama ndio kwanza Msafara umeingia na una watu wengi sana .Kwa hivi sasa watu wa mwisho wapo Rocken hill na waliotangulia kwa maana ya wageni Dr na walioambatana nae wako NBC zamani....watu ni wengi sana na Mji wa Kahama Umezizima ile mbaya.....nyimbo za chadema , na vifijo...
Wanabodi wenzangu,Nimetumia muda mwingi kufuatilia yaliyojiri hivi karibuni katika mjadala unayoihusu Chadema na Watu waliokuwa katika za juu katika chama hicho na nikagundua kuna aina mbili za wafuasi ukiacha waliitwa CHADEMA MAPYOKO NA WAKILI KICHEERE, kwa upande wangu nimeona kuna WAFUASI...
Wanabodi wenzangu,
Napenda kuchukua fursa hii kutumia msemo wenye busara ambao Muheshimiwa Rais wa Awamu ya pili aliwahi kusema "Muongo Muongoze".
Hii kauli naweza kusema ni nzuri sana tukaitumia kumuongoza Kamanda Kovva ktk kile anachotumika kuwa mstari wa mbele kuundanganya Umma hasa katika...
Wanabodi habari?
Naomba mwenye shairi ya wimbo wa Taifa Nzanzibar ili niufahamu.
Naamini wengi wetu hatuujui au hatujawahi kuusikia kabisa, mwenye hayo mashairi tunaomba tafadhari tufahamu.
Wanabodi Salama!
Kwanza nimshukuru Mungu kunipa uhai na afya njema kuweza kuona kiumakini mahojiano ya Raisi Obama na Kikwete kupitia kituo cha TBC1.
Niwape pongezi TBC kwa kujitahidi kufanya ufundi wa kuyarusha vizuri matangazo kutoka Ikulu muda mufupi ambao mgeni wetu katumia kuongea na...
Wanabodi wenzangu, nimefikiri sana kuhusu Tanzania bara kurudi katika Tanganyika kama jina sahihi lakini pia kuirudisha Tanganyika yetu iliyokuwa na Neema zake enzi zile na Uhuru iliyoupata 1961.
Kitu ambacho nilikiona na kujiuliza ni hii Jumuiya ya Wasomi wa Sheria Tanganyika(Tanganyika Law...
Wanabodi wenzangu nimeshangazwa sana na Jeshi letu la Mapolisi Mkoa wa Arusha, baada ya kujitahidi kutumia msuri kumsafira Muongo, badala ya kupeleka ile taarifa kutoka kampuni husika kwa Mahakama ambayo ingeweza kumsafisha.
Eti namba ni ileile lakini centre numba ya SMS sio ya mitandao ya hapa...
Wanabodi wenzangu nimefuatilia kwa karibu vurugu ambazo zinatokea baina ya Machinga na Askari wa Jeshi letu Polisi nikagundua Maeneo mengi ambayo yanakubwa na vurugu hizo ni zile ambazo huongozwa na Wapinzani au maeneo yenye misingi ya kukipinga Chama Tawala hapa TZ.
Mifano michache ambako...
Wanabodi, nimefuatilia kauli za Mkuu wa Mkoa wa Arusha toka alipofika Chuo cha AIA kwa ajili ya kutoa pole na wayforward kama Mwenyekiti wa Usalama Jiji la Arusha nikaona ni Mtu mwenye jaziba,kutumia nguvu nyingi na hasira lakini asiejua hata kusoma saikolojia ya Watoto akiwa kama Mzazi. Lakini...
Wanabodi wenzangu nimeendelea kutafakari kwa kina sana juu ya tuhuma mbaya sana hasa kwa Mtu wa ngazi ya juu sana kwa Chama tawala na ninaamini hata kwa Serikali kwa sababu ni mtu ambaye anamsahuri Amri Jeshi mkuu ambaye ni Raisi, na mimi naamini huyu Mh. Kinaina ni zaidi hata ya Makamu au Raisi...
UPDATES:
Novemba 2014, Gazeti la Economist limeandika haya https://www.economist.com/news/middle-east-and-africa/21631202-claims-links-between-politicians-and-poachers-merit-further-investigation-big
Aidha, vema kusoma Ujangili na Biashara zisizoeleweka: Ni nani huyu - Mohsin...
Bado nasisitiza tena kama ingekuwa ni uongo tunafahamu Kiti cha Spika huwa kinarukia mapema lete ushahidi ndani muda fulani, lakini pia kabla kusomwa report ile ni kwamba huwasilishwa kwa katibu wa Bunge kwa ajili ya kuipitia kwanza, sasa unataka kuniambia hawakuona hayo yote kabla kuwa ni uongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.