Recent content by Jurecafe

  1. Jurecafe

    Makapuku Forum

    Habari Shunie
  2. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Kwenye kivuko cha waenda kwa miguu ndipo ajali imefanyika
  3. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Amegongwa kwenye kivuko cha waenda kwa miguu ina maana mtu akishakufa haki haitendeki
  4. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Usipite tu hebu toa mchango wako wann kifanyike kuhusu jambo Hilo kwa sababu tunaona raia wanapogonga wanafikishwa mahakamani wann huyu nae asifikishwe huko
  5. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Maana ya kuripoti polisi na kupewa PF3 si umeshafungua jalada au unataka kushitaki vp hebu tujuze
  6. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Hata sheria inahitaji nguvu jamani kinachotakiwa haki itendeke na si kutendeka tu ionekane inatendeka
  7. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    Taarifa ilishatolewa na jalada lilishafunguliwa tukapewa na PF3 kwenda hospitali ndiko alikofariki mgonjwa lakini hakuna kinachoendelea
  8. Jurecafe

    Polisi akigonga mtu akafa, inakuwaje hapo?

    NAOMBA KUULIZA:Kuna polisi akiendesha gari akagonga na aliyegongwa akafariki hakuna kilichoendelea hadi leo yupo mtaani anadunda tu kwani sheria za nchi hii ni kwa raia tu wengine.
  9. Jurecafe

    Rais Magufuli: CCM itatawala milele na milele! Wasioipenda watapata tabu sana

    Kiboko yenu tume huru ya uchaguzi ambayo hamtaki kuisikia pamoja na mbwembwe zenu zote mnazojidai kuisikia tume huru chupi zinalowa
  10. Jurecafe

    Rais Magufuli alikosea kutamka kuwa CCM itatawala milele

    Amechochea kuni kwa si amesema mwenyewe jiwe
  11. Jurecafe

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Anaendelea kuiandika tuwe wapole jamanil
  12. Jurecafe

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Si ya mchezo mchezo
  13. Jurecafe

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Miranda hajafa Shunie yeye ndiye atakuwa Mel wa Mr.Jona
  14. Jurecafe

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Watu wanaisubiria Antidote
  15. Jurecafe

    Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

    Mambo ni hivii [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] ila jitahidi kuifanya iwe ndefu kidogo
Back
Top Bottom