Hawa watu wanatudharau sanaa watz.......Vyerehani vinne .......Kiwanda........Ama kweli ukistaajab ya Musa ....utayaona ya Tanzania ya viwanda......cc ....Mwijage
Ile ya Kenya imeambatana na ufisadi mkubwa sanaa....na msishangae hata SGR ya kwetu hapa mpaka Mwanza na Kigoma zaid ya kilometa 1500 ikatumia pesa sawa hyo USD 3.8 billion sawa na kilometa zao Kenya 600...
Naionea huruma Tanzania....sjui hawa wanaCCM wanawazaga nin? Sasa hii tekateka ya watu na kuwajeruhi jamani.......kweli tumeshikwa pabaya.....nomaaa sanaa.....
Ngoja akachakaze kijana........Almasi kuwa maji.......cant wait to see that....lazma niwahi kanisani kwa gwajima.....hehehehehehehehe tena mbeleeeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.