Recent content by Jupita

  1. J

    Naomba kuelekezwa kwenye Ofisi za PSSSF Wilaya ya Temeke

    Tazara Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    Nahitaji Freezer la futi 5 lisiwe la mtumba

    Nafikiri ukubwa wa freezer unaangalia lita sio futi.
  3. J

    Tetesi: Makato 15% HESLB yameshaanza

    kiongozi mwezi wa kwanza wamekata 15% labda kama kazini kwako wewe hawajaanza lakini kwetu tayari.
  4. J

    Tetesi: Makato 15% HESLB yameshaanza

    Kweli, mwezi wa kwanza wamekata 15%.
  5. J

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Lg g2 pesa ngapi? na lg g3
  6. J

    Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

    Niliwahi kuwa na Iphone 4, njia rahisi download UC browser, fungua youtube kupitia hiyo kitu, fungua video yako' ikiinza upande wa kulia utaona alama ya mshale na kopa' click kwenye alama ya mshale video itakuwa ina jisave automatically" kumbuka video zako zote unazo download ukizitaka kuangalia...
  7. J

    Sheria Mkononi: Mwizi wa simu auawa Magomeni - Dar es Salaam

    Safi sana! Wauliwe tu! Niliwahi kuibiwa simu Kama huyo dada! Maeneo ya mwananchi relini! walipogundua wamenipola simu ya kawaida walinitukana wakakimbia, Kama kunamtu anawatetea wezi Subiri siku yako itafika!
  8. J

    Movie ya Nkurunziza wa Burundi Vs Tamthilia ya Rais Boni Yayi wa Benin

    Hata nami nilihisi huenda ikawa movie!
  9. J

    Mwenye kioo cha iphone 4

    Ila siku nyingi zimepita inafika mwaka sasa huenda bei ikawa tofauti!
  10. J

    Mwenye kioo cha iphone 4

    Nenda Sapna au duka la Jirani na Sapna maeneo ya posta! niliwahi kuuliza bei nikaambiwa 65,000/=
  11. J

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Nimewahi kuwa na tatizo Kama hilo kwa muda! ila sasa niko safi! Karibu dawa zote zilizo tajwa nimetumia! Kitu cha msingi usipende kubadiri dawa Mara kwa Mara! pili ukitumia dawa ukiona kunavipele vichache usipende kuvishikashika kila wakati yani kivikamua huenda nalo likawa ni tatizo! tumia...
  12. J

    Bodi Ya Mikopo Na Waajiriwa

    Mimi si mwalimu ila wameanza kukata siku nyingi tu! Mimi walianza 2012!
  13. J

    HATARI: Hali ya Usalama Dar si nzuri, Kundi la 'Watoto wa Mbwamwitu' lawa tishio Ilala

    Mimi nilikuwa maeneo ya buguruni dakika chache zilizopita nikasikia watu wanasema watoto wa mbwa wanakuja ikabidi nikimbie fasta!
Back
Top Bottom