Pole sana kaka lakini jifunze kuact kama mwanaume wa kiafrica wanaume wanaoact gentleman n wazungu african men we are polygamist asa dem yeye kaplay part ya msichana wa kibongo materialist sasa yeye kaishi kiafrica wewe umeishi kizungu
Uyu waziri Bashe awe mfano wa kuigwa kwa watendaji wenzake wa serikali yaani ikipendeza hata viongozi wako wa chama wafanye jitihada uwe waziri mkuu endelea kuchapa kazi
Kwny sex kila mtu anatakiwa amridhishe mwenzie yaani nusu kwa nusu kati ya mwanaume na mwanamke maana sisi wanaume tunafurahia tendo la ndoa zaidi maana sisi ni wabinafsi pale kwny mchezo tukiwa tunakutana na wanawake......ndio maana mwanaume akiridhika anatulia zake! wanawake wakipitia unyagoni...
Kwanini Jamiiforums haina matangazo kama tunavyoona blogs nyingine zinavyoendeshwa wanagenerate vipi mapato yao wanatumia vipi hawa wafuasi wao kuwa na fedha kwa kupitia matangazo madogomadogo wataalamu kikao kianze.
Idea ni nzuri lakini unasahau swala moja mkonge wa taifa unaotumika ni mmoja wa ttcl kwamba yeye ndio internet provider kwny makampuni yote ya simu sasa hapo huduma haziwezi kuwa ni huduma shindani inatakiwa mkonge wa taifa usiwe mmoja itengenezwe hata mitatu au zaidi iliinternet iwe na kasi...
Idea ni nzuri lakini unasahau swala moja mkonge wa taifa unaotumika ni mmoja wa ttcl kwamba yeye ndio internet provider kwny makampuni yote ya simu sasa hapo huduma haziwezi kuwa ni huduma shindani inatakiwa mkonge wa taifa usiwe mmoja itengenezwe hata mitatu au zaidi iliinternet iwe na kasi...
Nimesoma uzoefu wako kwny biashara lakini kinachoumiza kwny biashara ni kodi ya fremu,kodi za sirikl kiujumla nadhani nimeeleweka matumizi yako binafsi maana wakati mwingine unatakiwa uipe biashara muda wa kujiendesha ndio ufanye matumizi yaani pambania mtaji ukue iliuzalishe faida
Jamani biashara sio kitu kirahisi hivyo mnavyofikiria biashara haitengenezwi kwa maneno ni vitendo na biashara sio kimbilio la wajinga biashara ukiwa ndani yake ndio unapata kuielewa biashara zinautofauti wake mfano biashara nyingi za bidhaa
maji,soda,sigara.........hawa wenye hivi viwanda...
Nahisi point yako haijajitosheleza jiulize swali kabla bodaboda hazijaingia nchini vijana wengi waliokuwa na elimu duni walikuwa wanafanya nini mitaa miaka ya zamani kama kumbukumbuku mnazo kulikuwa kuna uhalifu mkubwa wakuibiwa majumbani vitu kama ma tv,ma redio.........sasa imekuja bodaboda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.