Kwanza kabisa Wewe ni bikra? Na. Wewe unataka mke au unataka kuzini? Kama kweli unampenda na unataka awe mke wako utakubaliana nae, kama sivyo isipende kumharibu mwenzako ambaye amejiheshimu kwa miaka yote hiyo.
Una ushahidi kuwa huyo binti ni Bikira? To be franky, na kwa wakati tulio nao ni kupoteza muda bure tu kwa kisingizio cha bikira. By the way, huo ubikira unatija gani hadi mtu ujione ni malaika? Tafute mwingine huyo asikusumbue bure. Unaweza ukavumilia kuwa kweli huyu ni mke mwema, siku ukiingia mazima hiyo kitu breki hadi kwenye krdani! Shauri yako,mambo hayo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia yameshawakumba wengi.