Recent content by junkensh

  1. J

    Hodi wenye nyumba

    huko kwenye vyumba vingine ni hatari,nimerudi,nilienda mtaa wa 3,umenikumbuka kwa chajio?
  2. J

    SHOGA WA KIKE anataka anizalie (Nimzalishe) mtoto!

    ckupenda kulisemea hili,lkn nashawishika kusema hv,kama kweli ww una shaka na malezi ya mtoto yatakuwaje vp unashindwa kuwa na mashaka kwa kutaka kuvunja amri iliyotolewa na MUNGU kuwa uczni?,lipi latakiwa kukupa hofu zaidi?
  3. J

    From JF to Me!

    mh!,m mgeni mji huu!
  4. J

    Hodi wenye nyumba

    wenyeji natoka,naenda kununua cgara hapo mtaa wa tatu,nitarudi,mcnisahau chajio eh!,
  5. J

    Hodi wenye nyumba

    Waw!, najua nimekosa staftahi kama ambavyo nimechelewa cha mchana,mnihesabu kwenye chajio bac maana njaa yanin'gwenya,hatari!
  6. J

    Hodi wenye nyumba

    Lah!, humu kimya lkn nimepapenda maana kuna hewa na mwanga wa kutosha,hakuna joto wala kubanana km kule kwingine!!.
  7. J

    Hodi wenye nyumba

    loh!,ahsante sana watu8,nashukuru kwa ukaribsho wako!
  8. J

    Hodi wenye nyumba

    loh! kimya humu!!, au hakuna wenyeji? maana hata pa kukaa pia cpaoni! wenyewe mpo!?
  9. J

    Hodi wenye nyumba

    hodi wenyewe!, nimekuwa nikijigonga humu coridoni kutafuta chumba hiki,hodi tena!!
  10. J

    Hatimaye nimejiunga nanyi!

    hodi wenye nyumba!,mi mgeni mji huu!
  11. J

    Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

    mh!, kweli kila kizazi ni kibovu kuliko kilichotangulia!!!
  12. J

    Amini usiamini, mabaunsa wengi ndiyo mashoga..

    dah!cku zote nakaa kimya nikisoma kiandikwacho,lkn leo nimeshawishika kutoa msemo huo"kweli kila kizazi ni kibovu kuliko kilichotangulia"
Back
Top Bottom