nlikua nafuatilia sakata la Manara kufungiwa kisa kuongea vitu ambavyo vipo kiukweli Malinzi kafail malinzi huyu huyu ndo alikua anaendesha kampain Simba na Yanga zisiwe chini za watu binafsi, leo hii kama team hizi zingekua chini za watu tusingefika mda wa kuanza kupitisha bakuli kwa wananchi...
kanumba alikufa na sanaa yake maana aliitoa chimbo akaiweka kwenye ramani watu wakaanza kuielewa lakini watu alio waachia walijiaminisha kupitia kivuli cha marehemu watafika mbali ni upuuzi awa jamaa kweli wamekosa creativity utakuta director mwenyewe, location manager mwenyewe, script mwenyew...
Leo hii bongo muvi wanalalamika wamekosa soko na muvi za njee ndo zinaharibu soko lakini wamesahau kitu kimoja kinaitwa uwekezaji leo hii bongo fleva mtu anawekeza zaidi ya M 30 au 40 kwa video ya dk 4 mpaka 3 kaweka dhamira lakini awa ndugu zetu bongo muvi vituko mtupu, haiwezekani muvi ya saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.