kweli teknolojia ilitumika kwa asilimia kubwa kufuatilia nyendo zake zote katika makazi yake ila bado haikutosha ikabidi Marekani wapeleke undercover agents ambao waliendesha zoezi la kutoa huduma ya chanjo kama sikosei mtaa mzima anaoishi Osama ila lengo kuu ilikuwa kuweza ku penetrate ndani...
Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.