Recent content by Junior Hamis

  1. Junior Hamis

    Wenzetu mlioajiriwa na Jamhuri mmepata mshahara?

    mshahara umetoka toka jana
  2. Junior Hamis

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu naomba nielekeze namna ya ku withdraw sportybet maana najaribu ku withdraw inaandika error failed
  3. Junior Hamis

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    [emoji23][emoji23]
  4. Junior Hamis

    Vipepeo weusi season 2: From Zurich with rules

    [emoji4][emoji4]
  5. Junior Hamis

    Kwa wale watu wa kikosi Maalum (Makomandoo) mliopo JamiiForums nitashukuru leo mkinijibu haya Maswali yangu yafuatayo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kujiunga nao siyo kazi, kazi inaanzia "pain is our medicine"
  6. Junior Hamis

    Vijue vyeo, Majina na Alama za Jeshi la Wananchi Tanzania(JWTZ)

    kijani nchi kavu (land force) , katikati maji (navy), blue anga(air force)
  7. Junior Hamis

    JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

    kweli teknolojia ilitumika kwa asilimia kubwa kufuatilia nyendo zake zote katika makazi yake ila bado haikutosha ikabidi Marekani wapeleke undercover agents ambao waliendesha zoezi la kutoa huduma ya chanjo kama sikosei mtaa mzima anaoishi Osama ila lengo kuu ilikuwa kuweza ku penetrate ndani...
  8. Junior Hamis

    JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

    Mkuu hao makomandoo unaowasema wanavunja tofali ni special force, nadhani kama unayajua majukumu ya special force utaona umuhimu wa wanachokifanya kwa mfano moja ya jukumu la special force ni uokoaji katika mazingira magumu kwa mfano tukio la utekaji wa raia wa Israel nchini Uganda...
Back
Top Bottom