Recent content by June17

  1. June17

    Mererani: Kinyozi akamatwa kwa kumlawiti Bubu

    Kama anaekutwa na kosa la mauaji anauliwa na uyo akikutwa na kosa la ulawiti alawitiwe tu si wanasema dawa ya moto ni moto
  2. June17

    Ni kosa kubwa sana kwa askari kunyang'anywa silaha yake

    kama ni swala la "Timing,, asa Depo miezi6 wanaenda kufanya nini!?
  3. June17

    Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Aya mahesabu mepesi sana kwenye karatasi shida kuyatoa kwenye karatasi uyaweke matendoni
  4. June17

    CCM: Heko Rais Samia kupunguza tozo za miamala

    Ko unamaanisha bunge lilikurupuka!?
  5. June17

    Humphrey Polepole akiingia Bungeni

    Nilivutiwa na kipindi chake pale chanel ten nazani ni mfano mzuri wa kuigwa na viongozi wengine
  6. June17

    Hamza atakuwa alijifunzia wapi ile silaha ya kivita?

    Kwa alivyo tafu vile pandikizi la baba atakama akujifunza kabla sizani kama ingemshinda
  7. June17

    Je, una imani na Jeshi la Polisi?

    Nazani depo ziongeze mafunzo zaidi kama raia ana ua polisi na kuwapola silaa sipati picha wakiingia magaidi wa kweli itakuaje
  8. June17

    Kwanini Hamza aliwalenga Polisi tu?

    Mwenye majibu ya kina na ya kuridhisha ni marehemu pekee
  9. June17

    Kwanini wanalaumiwa Polisi na siyo Hamza?

    Nilitamani sana bwana Amza angekamatwa mzima tujue sababu ya kufanya aliyofanya
  10. June17

    Rais Samia anaongelea matiti, tena ya Wanawake wenzake?

    😂😂😂😂ila kweli we utamfananisha sura ya feitoto na gaucho aliechezea simba qeen
  11. June17

    Website za ngono zimefungiwa Tanzania?

    Waje wafungie na hii mifugo uku mitaani maana wanateleza tu adharani
Back
Top Bottom