Recent content by Jundullah

  1. Jundullah

    Msaada: Kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?

    ndugu yangu utamponza jamaa yetu anayeomba ushauri.coz ya mechatronics bado ni ngen Tanzania hivyo unavyo mwambia atawez kuwa na uwanja mpana wa ajira sio kwel. naomba nikuulize swali tu moja kwamba una mtu wa mecharonics alaf una mtu wa software engineering.alf kazi ni ya software je utampa...
  2. Jundullah

    Nani ameruhusu wanyama wa bara kupelekwa Zanzibar, lini maliasili na utalii imehamia Muungano?

    Hapana .wanaendeleza Tanzania kumbuka hii Ni nchi moja . Jamhuri ya muungano WA Tanzania
  3. Jundullah

    Nani ameruhusu wanyama wa bara kupelekwa Zanzibar, lini maliasili na utalii imehamia Muungano?

    Punguza hasira ndugu , tatizo Ni Sisi Tanganyika tunawashobokea wenyewe . Uliona wapi muungano WA watu mil 62 kuungana na watu mil 1 . Wao wenyewe hawatutaki Ni shobo zetu wenyewe
  4. Jundullah

    TANZANIA na ZANZIBAR zasaini mkataba wa makubaliano..

    Inachekesha na kuhuzunisha ila ndio ukweli .
  5. Jundullah

    Simba, Chui, fisi ‘waingia’ Zanzibar

    Imeisha Iyo 🤣🤣🤣🤣🤣
  6. Jundullah

    Msaada: Kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?

    Kwanza kusajiliwa ERB haijutaji ajira. Wapo technicians tele waliosajiwa wengine wanasoma Bachelor mavyuoni na wengine wapo na pirika zao kama ajira na mengineyo. Hata ukimaliza na Bachelor ERB inakusajili kama graduate engineer ila kupanda rank lazima uwe umesajiliwa . Pia haina maana kama...
  7. Jundullah

    Msaada: Kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?

    Pia akumbuke mechatronics ya DMI Ipo kwenye marine environment Zaidi , angalia prospectus yao utaona hata module nyingi wanashare na wanafunzi wa marine , mechanical and marine . Hata 2021 ilikuwainaitwa naval mechatronics . Wameibadilisha 2022 na kuendelea . Ila ile ya ATC Ni mechatronics...
  8. Jundullah

    Msaada: Kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?

    Kati ya mechatronics and mechanical Ni bora asome mechatronics . 1. Mechatronics Ni mkusanyiko wa mechanical + electrical and electronics + computer science . Utasoma module tofauti kutokea kwenye sekta hizo . 2. Mechatronics Pia inaendana na revolution ya engineering iliopo . Mfano robotics...
Back
Top Bottom