Recent content by jun255

  1. jun255

    Mapastor wa Africa waungana na Mapastor wa Tanzania kumuombea Rais Magufuli London

    Tumuombee ili aendelee kuyafanya maisha yetu magumu? sion mantiki ya kumuombea mtu ambaye anazidi kuyafanya maisha ya watu wa hali ya chini kuwa magumu
  2. jun255

    Makonda kufanya mahojianao Clouds kuhusu yanayosemwa juu yake

    Nimeona huu uzi Makonda kutoa ufafanuzi kuhusu "upotoshaji" unaofanywa na wabaya wake kuwa atatolea tamko Clouds sasa nabaki kujiuliza iv Tbc si ndio television ya uma??? Iweje akatolee binafsi? Kwani clouds wanakulipa mkuu? Mbona kila kitu unafanyia kwao wakati kuna tv ya uma?
  3. jun255

    Majaliwa: Uamuzi wa Serikali wa kufuta TOZO tano katika zao la korosho uko pale pale

    Aisee mkuu muombee cc baba yenu atolewe kifungoni alikuwa anakutetea asubuh akapigwa bun
  4. jun255

    Haya ndiyo mafanikio ya Rais Magufuli katika kipindi cha miezi 8 iliyopita

    Umeandika utumbo ambao ukiusoma mwenyewe unacheka
  5. jun255

    Tarime: Bhoke Matiko, acharangwa mapanga na vijana wa sungusungu

    NYIE ENDELEENI KUPOTOSHA ILA MATUKIO YA KUKATANA MAPANGA YAPO MIKOA YOTE SEMA MKISIKIA KWETU NDO KELELE ZINAKUWA NYINGI HAMJUI TU ILA HAKUNA WATU WAPOLE KAMA WAKURYA! MPAKA MKURYA AKUDHURU UJUE UMEMCHOKOZA MPAKA UMEVUKA MIPAKA KWANZA NI AIBU KIJANA WA KIKURYA KUPIGANA NA MAKABILA MENGINE KWA...
  6. jun255

    Kwa walimu waliopo kazini na kwa mtu yeyote atakayeguswa

    Hunaulizwa matokeo umeombwa no zako za mtihani! Nimesoma post yako na coment zako ni kweli unahitaji kusoma naamin but hakuna atakayekusaidia kwa lugha na majibu yako na pia ulipewa njia mbadala unakuwa mkali unataka degree pekee mara usemw una njia zako za kufundisha hesabu! Hizo njia umezisoma...
  7. jun255

    Kwa walimu waliopo kazini na kwa mtu yeyote atakayeguswa

    NIMESOMA UNAVYOJIBU WATU COMENT ZAO AISEEE KAMA KUNA MTU ATAKUSAIDIA BASI NI MJINGA WA MWISHO! KILA LAKHERI TAPELI
  8. jun255

    Kwa walimu waliopo kazini na kwa mtu yeyote atakayeguswa

    Jamaa kakuomba details zako za six na four weka hapa ili watu waamini
  9. jun255

    Rais Magufuli, Mimi ni Sungura, baki na hao

    Sio kwa Tanzania ambako Jaji mkuu anateuliwa na kupewa maagizo na raisi au speakear kupenyezwa na raisi! Hilo unalolisema ulilisoma kwenye daftari na liliishia pale
  10. jun255

    Uchangudoa: Aina za uchangudoa

    Ukitoa hela yako kwa mwanamke kwa sababu tu anakupaga penz basi huyo anakuuzia na maana yake ni cjangudoa acha kupotosha
  11. jun255

    Uchangudoa: Aina za uchangudoa

    Kweli nimewasahau
  12. jun255

    Uchangudoa: Aina za uchangudoa

    Kuna aina nyingi sana za uchangudoa ingawa wengi mmekuwa mkiwajua wale qa barabarani. 1. Wa kusimama barabarani na kusubiri wateja 2. Wa kukaa (kutega) bar ukijifanya unakunywa atakayevutiwa mnaelewana 3. Kwenye mitandao ya kijamii kama badoo 4. Uchangudoa wa msichana wako kila ukimaliza...
  13. jun255

    Wabunge wa CCM wacharuka kuhusu serikali kutaka kukata mafao yao

    Inakuwaje swala la wao kukatwa kodi linawauma kiasi cha kuwafanya wasahau kujadili bajeti nzima wamekomalia hilo Kwahiyo kodi tunayokatwa wananchi haiwaumi ila yao ndo inauma? Haya mods unganisheni huu uzi wangu na zingine kama mlivyozoea! Mnakera sana
  14. jun255

    Tatizo la Madawati kuwa historia Manispaa ya Kinondoni

    Itafute uisome hapo nimetumia kipande kilichopostiwa hapa Jf
  15. jun255

    Tatizo la Madawati kuwa historia Manispaa ya Kinondoni

    Nimeatach hiyo screenshot kujenga hoja vizuri Nimeona leo Mheshimiwa mstahik Meya Jacob kaingia mkataba wa kutengeneza madawati zaidi ya 12000 ambalo ni jambo zuri sana katika ujenzi wa elimu yetu Changamoto imeniijia pale nilipopitia malipo waliyopewa wakandarasi ya kuwalipa kampuni...
Back
Top Bottom