Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,884
- 20,087
Kesho ni Jtatu siku ya kazi arekodiwe then mtarusha hiyo interview yake usiku Wa kesho kama recorded interview
Hata bavicha na chadema wanatoaga matamko tena wanadaigi WANATOA MATAMKO MAZITO.
Na kula matapishi yakeKuna thread humu ilianzishwa ikisema kuna siku atayakana maneno yake.
Kwanini clouds? Redio uhuru na TBC si zipo?
Daah huyo jamaa hiyo nafasi maji marefu kwake. Alitakiwa aachwe kwenye UDC aongeze experience. Anahangaika ku attract attention kwa wateuzi wake
Hapo ndio unaweza kupata akili nzima ya wateuliwa wa maguKwanini clouds? Redio uhuru na TBC si zipo?
Sio kweli. East Africa is the best eductive and entertaining. Haina figisu figisu. Kama ni burudani na sports pekee basi Efm iko vizuri. BE INFORMED!Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua kuwa Clouds Media ina wafuatiliaji wengi sana. Hivyo ni sahihi kwa RC kutumia media hiyo
Makonda apo ndio unakosea na hapo ndipo kiatu kina pwaya. Unaenda kumfafanulia nani? Wewe nikiongozi wa serikali clouds kunani? Je utetezi wako utabadilisha ushauri aliopewa rais na washauri wake kuhusu wewe? Au umesahau anayekuteuwa anahaki kukupumzisha ili watu walale? Tulia mkuu niliwahi kukushauri kwa maneno haya uteuzi wako waweza leta mabadiliko chanya kwa vijana au fungia vijana nafasi. Tuwe wakweli umeshawaharubia vijana sina uwakika hata uule kama watampa......Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameujulisha umma wa wana Dsm kuwa kesho saa 6 za mchana atakuwa kwenye studio za Clouds fm kujibu upotoshaji unaofanywa na anaosema wabaya wake kupitia mitandao ya kijamii. Ameeleza hayo kupitia akaunti yake ya instagram.
Maoni yangu; Mh Makonda hana haja ya kwenda media kutoa ufafanuzi wowote, anachotakiwa ni kufanya vitendo zaidi ndio yatakuwa majibu mazuri. Watu hawaridhishwi na matamko hasiyoweza kuyasimamia wala sio wote wanachuki za kiadui. Afanye vitendo zaidi kama boss wake.
Afanye vitendo zaidi kama boss wake.
Nani aisikilize redio ya wahuni zaidi ya wahuni wenzieMkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ameujulisha umma wa wana Dsm kuwa kesho saa 6 za mchana atakuwa kwenye studio za Clouds fm kujibu upotoshaji unaofanywa na anaosema wabaya wake kupitia mitandao ya kijamii. Ameeleza hayo kupitia akaunti yake ya instagram.
Maoni yangu; Mh Makonda hana haja ya kwenda media kutoa ufafanuzi wowote, anachotakiwa ni kufanya vitendo zaidi ndio yatakuwa majibu mazuri. Watu hawaridhishwi na matamko hasiyoweza kuyasimamia wala sio wote wanachuki za kiadui. Afanye vitendo zaidi kama boss wake.