watu wapo kwa kupinga kila kinacho fanywa ili mladi tu waoneshe ni jinsi gani hawakubaliani na serekali lkni hamna jinsi zaidi ya kukubali ata kwa shingo upande
kuna watu wana mabo ya ajabu kabisa ebu fikili kama leo watu hao wangekuwa wanaama ccm kwenda cdm alfu ccm wangesema sentesi hizi ungesikia maneno gani?wpigania haki za binadamu ungeckia wanavyo laani kauli hizi.alipo ondoka Nyarandu ccm haikuwa shida kabisa kila mwana cdm alicfu kitendo kile...
Kila kitu kina changamoto zake na izo ndio changamoto za magu xo cha msingi afanye kazi kutokana na utaratibu alio jiwekea bila kujari kelele za wapinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.