Wapinzani hawaaminiki tena

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Jul 24, 2014
24,501
28,711
Kipindi cha uchaguzi , na miaka ya nyuma ,vyama vya upinzani na wanachama wake walilia mfumo mbovu na uzembe serikarini, upinzani ulipinga watumishi wavivu .

Ilifikia hatua watanzania kwa vinywa vyao walitamka kwa nchi ilipofikia inahitaji dikteta.....

Mungu mkubwa amesikia kilio cha watanzania , kilichoongozwa na vyama vya upinzani..

Lakini cha kushangaza na kinachonisikitisha ni viongozi wa upinzani kumpinga rais Magufuli kwa kazi njema anazotekeleza...

Upinzani huu ulipinga safari za rais nje ya nchi.... Lakini sasa baada ya Mh. Rais kupunguza hizo safari. Upinzani umegeuka kauli zake na kudai mbona rais hasafiri ughaibuni.

Rais anatumbua majipu hususani wafanyakazi wavivu ..upinzani unaamka na kupinga huku ukitetea huu ujinga..

Nawauliza enyi wapinzani wa rais hivi mnataka kuturudisha misri? Sisi tunaelekea Kaanani yaani Tanzania mpya ya magufuli.

Nahisi upinzani ulikuwa unafaidika na ufisadi enzi za mkwere.

Hakika upinzani hauaminiki tena.

Upinzani unataka kuturudisha Misri (kwenye ufisadi na ukiritimba)

Upinzani unapaswa utambue enzi za kupata wanachama kwa kupinga serikali iliyopo madarakani zimepitwa.

Jengeni hoja...

Rai yangu kwa kila mtanzania tumuombe rais magufuli kila siku.

Tanzania kwanza vyama baadae
 
Wanaofanya maamuzi katika vyama vya upinzani ni waliotokea CCM,unategemea nini.Kwa sasa vijana wanapewa maelekezo hata kama hawataki.
 
Kipindi cha uchaguzi , na miaka ya nyuma ,vyama vya upinzani na wanachama wake walilia mfumo mbovu na uzembe serikarini, upinzani ulipinga watumishi wavivu .

Ilifikia hatua watanzania kwa vinywa vyao walitamka kwa nchi ilipofikia inahitaji dikteta.....

Mungu mkubwa amesikia kilio cha watanzania , kilichoongozwa na vyama vya upinzani..

Lakini cha kushangaza na kinachonisikitisha ni viongozi wa upinzani kumpinga rais Magufuli kwa kazi njema anazotekeleza...

Upinzani huu ulipinga safari za rais nje ya nchi.... Lakini sasa baada ya Mh. Rais kupunguza hizo safari. Upinzani umegeuka kauli zake na kudai mbona rais hasafiri ughaibuni.

Rais anatumbua majipu hususani wafanyakazi wavivu ..upinzani unaamka na kupinga huku ukitetea huu ujinga..

Nawauliza enyi wapinzani wa rais hivi mnataka kuturudisha misri? Sisi tunaelekea Kaanani yaani Tanzania mpya ya magufuli.

Nahisi upinzani ulikuwa unafaidika na ufisadi enzi za mkwere.

Hakika upinzani hauaminiki tena.

Upinzani unataka kuturudisha Misri (kwenye ufisadi na ukiritimba)

Upinzani unapaswa utambue enzi za kupata wanachama kwa kupinga serikali iliyopo madarakani zimepitwa.

Jengeni hoja...

Rai yangu kwa kila mtanzania tumuombe rais magufuli kila siku.

Tanzania kwanza vyama baadae
Maandishi kibao harafu pumba tupu!
 
Kipindi cha uchaguzi , na miaka ya nyuma ,vyama vya upinzani na wanachama wake walilia mfumo mbovu na uzembe serikarini, upinzani ulipinga watumishi wavivu .

Ilifikia hatua watanzania kwa vinywa vyao walitamka kwa nchi ilipofikia inahitaji dikteta.....

Mungu mkubwa amesikia kilio cha watanzania , kilichoongozwa na vyama vya upinzani..

Lakini cha kushangaza na kinachonisikitisha ni viongozi wa upinzani kumpinga rais Magufuli kwa kazi njema anazotekeleza...

Upinzani huu ulipinga safari za rais nje ya nchi.... Lakini sasa baada ya Mh. Rais kupunguza hizo safari. Upinzani umegeuka kauli zake na kudai mbona rais hasafiri ughaibuni.

Rais anatumbua majipu hususani wafanyakazi wavivu ..upinzani unaamka na kupinga huku ukitetea huu ujinga..

Nawauliza enyi wapinzani wa rais hivi mnataka kuturudisha misri? Sisi tunaelekea Kaanani yaani Tanzania mpya ya magufuli.

Nahisi upinzani ulikuwa unafaidika na ufisadi enzi za mkwere.

Hakika upinzani hauaminiki tena.

Upinzani unataka kuturudisha Misri (kwenye ufisadi na ukiritimba)

Upinzani unapaswa utambue enzi za kupata wanachama kwa kupinga serikali iliyopo madarakani zimepitwa.

Jengeni hoja...

Rai yangu kwa kila mtanzania tumuombe rais magufuli kila siku.

Tanzania kwanza vyama baadae
Umepost upuuzi mtupu hapa.
Hakuna mpinzani anayempinga Magufuli kwa Mazuri bali kama anakosea atakosolewa tu.
Mzee wa Msoga mlimpigia makofi Sana mpaka akajisahau kabisa na ndicho unachotaka kutujaza vichwani ili tupige makofi kwa kila kitu.
Haiwezekani kabisa hii weka kichwani mwako
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa upinzani utatokea wapi Tanzania wakati hadi zanzibar Ccm anashinda kwa 91% wakati zamani ilikuwa 51%?
 
Kila kitu kina changamoto zake na izo ndio changamoto za magu xo cha msingi afanye kazi kutokana na utaratibu alio jiwekea bila kujari kelele za wapinzani
 
Back
Top Bottom