Haya ndo matatizo ya kudandia siasa za zenji bila kujua asili yake, iv unaelewa kauli mbiu ya mapinduziiii daima, kama ujui anzia hapo, watu walipigana af we upewe kwa makaratasi endelea kuota
Maalim anatambua kuwe yeye ndio chanzo cha mgogoro hivyo hawezi kwenda mahakamani, Duniani mpaka mbinguni hakuna utaratibu wa kujitangaza hata motoni wapo wasoma matokeo ya dhambi zamtu mana kila mtu angejitangaza ye ni wa Peponi tu
Kufa wewe kwanza tumeshtuka, kuna mtu mwana cdm kuliko dk slaa utakuwa wewe, watu washafunga hesab saiv akil bungen ushamsikia mbowe anaropoka kwa sasa, deal done, mission complete
Mi namfikiri ni mda wa shein nae kujitangaza mshindi mana akili mbovu zinafikiri kujitangaza na utapewa madaraka, wapii tume iko vizur sana mana sheni nae angejitangaza bc kama kujitangaza ndo upewe madaraka
Usipende shotcut ktk maisha, yani mpaka umri wake unajua hana boy, ukome kuonjeshwa unajua kashakua mkeo fata kazi ilokupeleka na sio mapenzi na kakuhurumia kama rafiki ukapewa unataka kuganda, kwanza kapime utakuwa kashakupa tuvitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.