Vitendo kama hivi vya wauguzi kuomba pesa kwa wagonjwa zipo hospitali nyingi hapa nchini,na usipo tekeleza hongo hiyo basi utacheleweshewa huduma...kitendo hiki upelekea athari nyingi kwenye jamii.hivyo tunaiomba serikali kufatilia suala hili kwa umakini hususani huko vijijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.