Recent content by Juma1973

  1. Juma1973

    Udhaifu wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson na Uhuru wa Muhimili wa Bunge

    Mkubwa walisema kikao chochote kile atakachooongoza naibu spika wako watatokaaa
  2. Juma1973

    Udhaifu wa Naibu Spika Dr. Tulia Ackson na Uhuru wa Muhimili wa Bunge

    Nimemsikiaaa Silinde akiwasilisha hotuba ya kambi ya upinzani.
  3. Juma1973

    SUMATRA yatangaza nauli kwa mabasi yaendayo kasi

    NAULI MPYA ZA MABASI YAENDAYO KASI HIZI HAPA --Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gilliard Ngewe leo ametangaza viwango vipya vya nauli za mabasi ya mwendo kasi yanayotarajiwa kuanza safari zake kesho jijini Dar es Salaam. --Njia ya Pembezoni (Feeder Routes) Kimara hadi Mbezi : Mtu mzima Tshs 400/=...
  4. Juma1973

    Yasikieeee tuuuu

  5. Juma1973

    Habari ya mjiini

  6. Juma1973

    Marafiki

    Natafuta marafiki wa kuchat nao, sina vigezo, yeyote yule. Namba yangu ni 0624082051
  7. Juma1973

    Bomoa bomoa isiishieee kwa watu maskini

    Mh waziri wa ardhi pamoja na mh makamba huo moto wenu mliouanza usiwe moto wa mabua kutoa mikauliii tu pasina kuchukuliwa hatua stahiki ningependa mfahamu musha waua watu kwaajili ya hili zoezi sasa waheshimiwa isije ikawa ni kwa hawa tuu maana tushaziona ishara za vigogo kutaka kuzuia zoezi...
  8. Juma1973

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Dc makonda sio mtt kumsweka ndani kubenea Dc makonda anafahamu mipaka yake kumuweka ndani ni sawasawa
  9. Juma1973

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Chadema isipokuwa makini itakuwa ccm B maana mtu akikatwa ccm anahamia chadema je asinge katwa
  10. Juma1973

    Sheria Mkononi: Mwizi wa simu auawa Magomeni - Dar es Salaam

    Dogo ni mwinzi ila ndo wakujifunza
  11. Juma1973

    Sheria Mkononi: Mwizi wa simu auawa Magomeni - Dar es Salaam

    Dah dogo namfahamu Huyo aliekUfa raia wamempiga jiwe
Back
Top Bottom