NAULI MPYA ZA MABASI YAENDAYO KASI HIZI HAPA
--Mkurugenzi Mkuu wa Sumatra, Gilliard Ngewe leo ametangaza viwango vipya vya nauli za mabasi ya mwendo kasi yanayotarajiwa kuanza safari zake kesho jijini Dar es Salaam.
--Njia ya Pembezoni (Feeder Routes) Kimara hadi Mbezi : Mtu mzima Tshs 400/=...
Mh waziri wa ardhi pamoja na mh makamba huo moto wenu mliouanza usiwe moto wa mabua kutoa mikauliii tu pasina kuchukuliwa hatua stahiki ningependa mfahamu musha waua watu kwaajili ya hili zoezi sasa waheshimiwa isije ikawa ni kwa hawa tuu maana tushaziona ishara za vigogo kutaka kuzuia zoezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.