Asante kaka nimekupata ngoja takapo nyumbani taicheki model halafu takutaalifu Lakini pia Samahani kidogo kwa usumbufu nilikuwa naomba msaada wako jinsi ya kuapgred Samsung galaxy NOT2 pia kwa yeyote yule mwana jf naomba msaada wake
Mkuu Samahani kwa usumbufu tena mkuu siyo you tube ni za online ndio maana nikasema kama vile taarifa ya habari ya moja kwa moja Samahani sana mkuu naomba msaada wako
Jamani wana jamii na mimi niwaombe msaada kwa yeyote anaye jua jinsi ya km download vidio iliyo kwenye online mfano taarifa ya habari naombeni msaada wenu wadau
Mkuu chif mkwawa heri yamwaka mimi nilikuwa naomba msaada kwako jinsi ya kujirejest na huduma ya Samsung application maana kila nikiingiza email yangu inaniambia incorrect Pasword na wakati password ninayotumia kwenye email ni ileile naomba msaada mkuu
Mkuu heri ya mwaka sasa mimi nilikuwa naomba kusaidiwa nifanyeje kwa sababu nilikuwa nataka usajili kwenye hiyo programme ya tunnel guru nawewe unasema tena imekuwa mjanga Samahani Mkuu msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.