Recent content by juma kipala

  1. juma kipala

    PreGE2025 Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti CHADEMA ni paka na panya

    Kumbe wewe jamaa na wewe unakuwa fala namna hii
  2. juma kipala

    PreGE2025 Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti CHADEMA ni paka na panya

    MBona vijana wa chadema ukiwashika pabaya wanakimbilia sana Matusi kwenye hoja za msingi au ndio wengi wao wanafata mkumbo tu
  3. juma kipala

    PreGE2025 Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti CHADEMA ni paka na panya

    chadema naliona anguko lao kama la Nccr mageuzi
  4. juma kipala

    Mambo moto huko mtifuano bado unaendelea

    Siri Yafichuka Ndani Ya Equity Bank, Mmiliki Wa Gazeti La Jamvi La Habari Alipewa Tender Na Swahiba Wake Zenda Baada ya mgao kuzulumiana wameanza kutajana njama chafu za Equity Bank walipogawa Tender kwa aliyewahi kuwa Katibu Tawala Daniel ZENDA aliyetimuliwa kwa Utapeli, ulevi na Wizi, Daniel...
  5. juma kipala

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Bandari ya Mombasa imekumbwa na chnamogo kubwa ya msongamano wa meli kiasi cha watumiaji bandari hiyo kuwaandikia wateja wao na kuwapa tahadhari juu ya kuchelewa kupakuliwa kwa mizigo yao kwa zaidi ya siku kumi Barua ya Januari 18, 2024 kwenda kwa watumiaji wa bandari hiyo inaeleza kuwepo kwa...
  6. juma kipala

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    mdau uko vyema sana. kifupi tunapaswa tushangilie mafanikio huku tukichukua tahadhari na hatua za haaka kuhakikisha neema hii iliyotufikia haigeuki kuwa laana
  7. juma kipala

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    sio kweli. tuheshimu wataalamu
  8. juma kipala

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    unaona sasa..kumbe kuna magati mengine hayajakodishwa?
  9. juma kipala

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Tungepata uchambuzi kama huu wakati wa DP wala tusingehamaki aisee. mnajifichaga wakati wa songombingo kukipoa ndio mnajitokeza na data za hivi. Mungu anawaona
  10. juma kipala

    GE2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

    Wapinzani ndio wameishiwa wajenga hoja na ndio mnafikia wakati mnacho angalia kwenye thread nzito nzito huwa mnachambua makosa ya kiuwandishi na sio kuchambua hoja.
  11. juma kipala

    Polisi wanawahujumu CCM na Serikali yake?

    Hapa Mimi napingana na wewe kwa jinsi navyo mjua sugu wa kipindi hiki Cha siasa za mbeya na sugu wa hippop nitofauti kabisa ,na utofauti hu umeanza tangu alivyokuwa karibu na lema,hapo ndio alipo Anza kumfundisha michezo ya drama na ndio hiyo anaendelea nayo. kwa mbeya sugu mapolisi wote...
  12. juma kipala

    Polisi wanawahujumu CCM na Serikali yake?

    Kwani kwenye keyboard watu hawapambani
  13. juma kipala

    Polisi wanawahujumu CCM na Serikali yake?

    Sheria msumeno
  14. juma kipala

    Polisi wanawahujumu CCM na Serikali yake?

    Sugu mjanjaa Sana
Back
Top Bottom