Naunga mkono hoja ya IGP tumezidi ushabiki watu wanauwawa wewe unakebehi what if ni mzazi wako au ni wewe ungekufa watu waanze kukubehi, Hakuna binadamu aliyekamili lakini watanzania tumefika sehemu mbaya kushabikia tu na kuleta siasa kwenye mambo muhimu ya kitaifa.Askari ni muhimu sana kwa...
Wataongea mengi sana lakini Magufuli ni Rais bora amewabana mnashindwa kuiba mnaanza kusema ndio yalikua malengo yenu, mbona hamsaidii kuongoza mnapiga makelele ya kutafuta pakukosea na hamtapata mwiko ni kazi kwenda mbele na JPM
Huwezi kuelewa maana unataka kila kitu kimsaidie bibi yako, vingine vipo kwenye masilahi ya taifa ya jumla au tunaita General objectives ndio baadae utaona faida nyingine inakuja kwako na kwa bibi yako. huo ushamba watanzania wengi sijui tumetoa wapi hata unaamua kuandika bila kujiuliza na kufikiria
hile ndio kiswahili cha wapi? kila kitu kinachopatikana ni cha serikali hata michango ya harusi wanaomba wazazi wako lakini anayepewa cheti cha ndoa ni wewe
yeye amekuja bukoba na anatoa ahadi kuwa ataleta mahema, can you imagine tanznaian politician, anajua hali ya watu halafu anatoa ahadi badala ya kuja na mahema moja kwa moja? nani atamuelewa once akileta labda week ijayo halafu akakuta wengine wamekuja nayo itakua na maana gani.nina wasi wasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.