Usomaji usio na tija wala manufaa kwa taifa we mtoto aamke saa 10 usiku arudi saa 12 mpaka saa 1 usiku naapo bado ana home workers zinamtolea macho rikizo yenyewe hana anacho kisoma shule akija kuki aplay mtaani hakifanyi kazi apo ndipo mkoloni alituweza ifikie mahala wazazi tuamke kutoka...
pole sana ndugu hii mikwamo ipo kila mahali japo kila mtu anakwama kwa nafasi yake,chamsingi ni kumtegemea aliekuumba na kukaza tu alafu chamsingi zaidi kaa mbali na riba maana riba haijawai kumuacha mtu salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.