Recent content by Julius Malema Jr

  1. J

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Aache maigizo sasa baada ya kuongea kina kubenea na manyerere watampa fully dtail mheshimiwa bora angekaa kimya
  2. J

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Ata mtoto wa chekechea asngekubali Kua ni mwizi na mla rushwa mda wenu wa kutumbuliwa umefka acha muisome namba mliwanyanyasa sana wafanyakazi wa bandari na TRA sasa wafanyakazi wa TRA na Bandari ndio wanawatumbua majipu 2015-2025 na hamjui kesho yenu kama yatawakuta ya kina Mramba na Daniel...
  3. J

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Ata mtoto mchanga hawezi kukubali kua ana utajiri wa Trilion 5 ila ukiona wanatapatapa kwa awamu jua mzizi/jipu limeshakatwa hawa dawa yao ni kuendelea kuwafnya vyanzo vyote adi migodi Ya Tanzanite one Mining ili wakane vizuri sasa apo mmerahsha uchunguzi
  4. J

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Mliifanya nchi mali ya wahindi na waarabu wa Oman sasa subirini dawa iwaingie
  5. J

    Kashfa ya makontena yamuibua Ridhiwan Kikwete!

    Naona wameanza kuruka na kukanyagana subiri wataalam waendelee kukata mizizi yenu yote mwshon mtabak na heka ya mananas na pensheni mlizani nchi haina wenyewe ngoja Mheshimiwa Rais kipenzi chetu John Pombe Joseph Magufuli na vijana wake wazalendo wawaonyeshe mamlaka ya Rais Mzalendo. ..Mkiskia...
  6. J

    Serikali yafuta Hatimiliki ya Shamba la Mkonge la Kikwetu

    Mkawaeleze kuwa kuptia yeye makontena po yameanza kulipiwa kodi na hayalipiwi tena kodi kwa wajanja wachache china...na hayatoroshwi tena na pia waambie Dr.Mpango amepewa uwazri wa Fedha ili aweze kuwatumbua vizuri wezi wa bandarini na TRA ..Pia mashamba waliyojimiliksha wahindi na wagen...
  7. J

    January Makamba: Hata kama una vibali vya ujenzi, bomoa bomoa ni lazima

    kazi za Mheshimiwa Lukuvi nazani atuletee maendeleo ya mgogoro wa Zanzibar na viwanda vilivyojengwa kwenye makazi na vinavyotoa moshi mchafu kama WAZO-TWIGA CEMENET kwa kushrkiana na NEMC
  8. J

    Prof. Muhongo anatembelea nyota ya William Ngeleja

    mkuu huo ndio ukweli uchafu mwingi ulifanyka kipindi chake muhongo uchafu wote kahukuta kwenye makabrasha ....huyu jamaa na january ni vijana wa ra
  9. J

    Prof. Muhongo anatembelea nyota ya William Ngeleja

    hana jipya agent wa ex mkulu na ra kwenye wizi wizara ya nishati...iptl...gesi na blah blah zote zilkua chini yake huyu na january makamba lao moja
  10. J

    Magufuli awatia kiwewe CCM

    Mkalipe kodi nyie walanguzi period
  11. J

    Magufuli awatia kiwewe CCM

    wewe naona ni jipu kalipie makontena toka Mheshimiwa Rais Magufuli na Mheshimiwa Waziri mkuu Kassim Majaliwa waanze kupasua majipu umegeuka upinzani na wapinzani wamegeuka CCM ....mtaisoma namba...Mheshimiwa Magufuli alishawaambia hana ubia na mfanyabiashara na hakupokea ata shilingi kama...
  12. J

    Magufuli awatia kiwewe CCM

    Mleta mada toka mirija ya bandarini ibanwe naona umegeuka mpinzani sijui ulikua mnufaika...lazima mfanye biasahara halali ya kaisari mpeni kaisari ili watoto wa watanzania maskini wasome bure
  13. J

    Magufuli awatia kiwewe CCM

    RAIS NI TAASISI CHAMA NI SAWA NA NGO'S au SACCOS MLETA MADA HIZO NI POROJO CHAMA NA WAFANYABIASHARA HAD NOTHING TO DO KWA MHESHIMIWA RAIS SOMA VIZURI KATIBA YA NCHI RAIS NI TAASISI SI MTU SO WAKIJARIBU KUMHUJUMU RAIS CHA MOTO WATAKIPATA .....RAIS NI WA WATANZANIA WOTE ILA SI WATANZANIA WOTE...
  14. J

    Makampuni 27 ya Uchimbaji Tanzanite Arusha, Manyara na K'Njaro kufutiwa leseni kwa Ukwepaji Kodi

    gonga si owner/mmiliki na hana jeuri hiyo mmemuweka kivuli tu na mmeshindwa kurun company baada ya magufuli kubana mirija mmeanza kwa kupunguza wafanyakazi 600 cz mlileta waswahili wengi kwa fujo kutoka kando ya bahari mkjua business itakua as ussual kumbe jpm ni mzee wa kutumbua majipu. ..Mungu...
Back
Top Bottom