Recent content by juliano norman

  1. juliano norman

    Soko la choroko

    Wapi linapatikana soko la choroko na bei ikoje maana huku mtwara hamna wanunuzi
  2. juliano norman

    Soko la ufuta na choroko

    Mwenye kujuwa soko la choroko zinanunuliwa bei gani na wapi wananunua maana huku mtwara hali si shwari
  3. juliano norman

    naomba ushauri kama naweza nikajiunga na chuo cha ualimu?

    kwann unaniambia nisirudi na kilio hapa jukwaani?
  4. juliano norman

    naomba ushauri kama naweza nikajiunga na chuo cha ualimu?

    basi nashukuru mungu na maombi yanatoka mwezi wa ngapi na wapi ni bora kuombea kati ya chuoni au wizarani?
  5. juliano norman

    naomba ushauri kama naweza nikajiunga na chuo cha ualimu?

    nimerudia mtihani wa kidato cha nne kwa masomo tano na kupata ufaulu wa c,c,b,d,na d,naombeni ushauri nina sifa ya kujiunga na chuo cha ualimu?
  6. juliano norman

    natafuta mfadhili

    amen,ntashukuru kama nitafanikiwa maana hii ni mara yangu ya pili najiweka hadharani kuomba msaada.
  7. juliano norman

    natafuta mfadhili

    asante sana kaka yangu natamani nikuambie kila ukweli na changamoto nilizozipata lakini nashindwa kwasababu walio wengi wanapitia kwenye hii mitandao,hivyo pangekuwepo na njia nyingne mbadala ningekusimuliag.
  8. juliano norman

    natafuta mfadhili

    kwa jina naitwa juliano norman(24),ni mkazi wa mtwara,mimi ni wa kwanza katika familia ya watoto watatu,kwa ujumla mimi na ndugu zangu ni yatima wa kufiwa na wazazi wote,kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne nilichohitimu katika shule ya sekondari mtangalanga iliyopo km 3 kutoka newala...
  9. juliano norman

    natafuta mfadhili

    kwa jina naitwa juliano norman(24),ni mkazi wa mtwara,mimi ni wa kwanza ndani ya familia yetu na kufuatiwa na ndugu zangu wawili,mwaka 2005 tulifiwa na mama yetu na kuachwa na baba tu,maisha yalikuwa magumu zaidi kwani jamaa wa upande wa mama walitutenga,wakati mama katutoka mwaka 2007...
  10. juliano norman

    Natafuta mfadhili wa kunifadhili

    msaada wowote ule kama kunipeleka shule na kunifadhili mpaka nihitimu masomo yangu au kunichangia kiasi cha hela kwa ajili ya ada vyovyote nipo tayari.
  11. juliano norman

    Natafuta mfadhili wa kunifadhili

    Kwa Kweli Hakuna Aliyenisaidia Hata Mmoja Zaidi Ya Kuniambia Nimtafute Mfadhili Tu
Back
Top Bottom