Shika adabu yako. Sikukulazimisha kunipa ushauri kama hukua na kitu cha kusoma bora usingeshusha suruali yako..maana ni kama vile umetumia njia nyingine kujibu na sio Mdomo.
Habari ndugu zangu. Mimi naomba mnijuze kati ya clinical medicine na medical laboratory ipi ni bora na yenye ajira kwa haraka. Na mishahara yake ipoje? Na je kama mtu akisoma certificate miaka miwili ili kuendelea diploma ni lazima aanze tena miaka mitatu au anaendelea mwaka mmoja?
Habari ndugu zangu,
Nina eneo la kufanya biashara ya bar/lounge Dodoma mjini. Natafuta mtu atakaye ni sponsor na baada ya miezi 10 mpaka mwaka akapata refunded back na some percentage kulingana tutakavyoingia mkataba.
NB: Kwa aliye serious ani inbox..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.