Ila ni ushauri tu ndugu, unawezabukapata gharama kubwa sana kuitengeneza, ilihali hiyo pesa ungenunua simu nyingine, mimi nishanunua tecno, samsung, zote zikazingua, na nilipoteza pesa nyingi kutengeneza, yaani fundi akitengeneza leo, kesho tatizo jingine linaibuka,, tena simu ikishakuwa flashed...