jaman wenye uelewa naomba ufafanuzi, mm nimehtm kidato cha nne mwakajana na matokeo yangu ni kama ifuatavyo math~B+,phy~B,chem~B,geog~B,bios~B+,engB+,His~B,Kisw B+,civi~C na nina distinction ya 3.6 shule nilizochagua ni kibaha,iliboru,mzumbe,minaki,tosamaganga. je naweza kuchaguliwa shule ipi...