Serikali ya CCM haina ubavu wa kuipangia nini cha kusema wala trend ipi ya kufata kwa Kanisa Katoliki. Taasisi pekee imara inayojitosheleza kuanzia maamuzi mpaka muundo.
Wakati wa uapisho Padre wa Kanisa Katoliki alikuja amevaa mavazi ya kuashiria maombelezo.
Rangi ya zambarau uwa inavaliwa kwenye misiba au matukio ya aina hiyo.
Awa watu sio machawa mnaoweza kuwapa million 50 akaogopa kutaja neno HAKI.
https://youtu.be/HxhQsqOlugM?si=S5Qr178OFL9BN_5w
Mzanzibari, Haji Omar Kheir swaiba na mshauri wa Samia kwenye masuala ya kisiasa aingie kwenye orodha ya wataowajibishwa kwenye mauaji ya maelfu ya watanzania yaliyofanywa na serikali.
Hakuna wa kusamehewa hakuna kusahau.
Lazima avae karoti!!
Kukata mzizi wa fitna. Wachukuliwe maafisa wa vyama vyote na waangalizi huru kutoka nje waifanyie review mifumo yote kwa uwazi. Kisha watupatie majibu.
Hii ni kuanzia uandikishaji, upigaji kura, UKUSANYAJI MATOKEO, na utangazaji matokeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.