Recent content by jubainsolution

  1. J

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban ki Moon aipongeza Tanzania kwa uchaguzi Huru na Haki

    hahahahaaaa...tatizo la ukawa kila mtu hawamwamini hapa duniani...wanamwamini mbowe, mbatia na lowasa... TWAWEZA walitoa yafiti hawakuamini wakasema wamehongwa...synovate wakatoa pia wakakataa...hali ya kua synovate ni la kimataifa...sasa hao ccm wamewahonga hadi UN? hebu ukawa jitambueni...
  2. J

    Majigambo ya Mtoto wa Rais na 'Precedents' za Viongozi Watangulizi

    sasa wasiwasi wako ni wanini...wakati magufuli anakuja kupiga kazi
  3. J

    Lubuva kushitakiwa mahakama ya Tanzania

    ukawa wanaleta comedy sana...wanadhani watz ni wajinga sana...hatudanganyiki na raisi ndio tushamchagua tayari watz..
  4. J

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    hoja ndio msingi sio lugha...cha msingi ujumbe ufike
  5. J

    Moses machali, Zitto Kabwe kakupoteza

    ukiwa bana....ah kumbe ukawa
  6. J

    Frederick Sumaye na kusaidia upinzani

    ukawa kubalini kura zenu hazikutosha kwa Lowasa...muibiwe kitu gani ninyi?
  7. J

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    chadema hawana jipya...tumewastukia nyenzo zao
  8. J

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Ni kweli jimbo hili NEC imeshatangaza matokeo yake kwa ngazi ya uraisi?maana nimeona press conference ya UKAWA jana wakilalamika wameibiwa kura zao naomba mwenye ushahidi wa kutangazwa kwake atuwekee hapa.Wanadanganya uma sana hawa jamaa
  9. J

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    kweli upeo wa kuchambua ni mdogo sanaaaaaaaaaa.....bado huamini raisi ni nani hadi sasa? unataka utuaminishe matokeo ya Mbowe?
  10. J

    Makamanda: Kumbe CCM ni wepesi kiasi hiki!

    Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait...
Back
Top Bottom