hahahahaaaa...tatizo la ukawa kila mtu hawamwamini hapa duniani...wanamwamini mbowe, mbatia na lowasa...
TWAWEZA walitoa yafiti hawakuamini wakasema wamehongwa...synovate wakatoa pia wakakataa...hali ya kua synovate ni la kimataifa...sasa hao ccm wamewahonga hadi UN? hebu ukawa jitambueni...
Ni kweli jimbo hili NEC imeshatangaza matokeo yake kwa ngazi ya uraisi?maana nimeona press conference ya UKAWA jana wakilalamika wameibiwa kura zao naomba mwenye ushahidi wa kutangazwa kwake atuwekee hapa.Wanadanganya uma sana hawa jamaa
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.