Recent content by Juakali2012

  1. J

    Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

    Hivi wewe unaakili sawasawa? Hata kama mamayako hakukupa malezi unapaswa kujifunza hata kutoka kwa majirani. Udini unakusumbua wewe juha. Huwezi kuandika bila kuwataja wakatoliki? Mbona hospitali zao unakwenda kutibiwa? Mbona shule zao mnasoma?
  2. J

    Askofu Pengo aionya serikali mauaji nchini, vinginevyo balaa kubwa siku zijazo

    Ukichangia unatakiwa kujenga hoja na sio kuleta hisia. Anaposema haki kwa watanzania unaelewa nini? Kajifunze kusoma kwa ufaham ndio urudi kuchangia hoja humu
  3. J

    Nyerere afunguka kuhusiana na udini wa rais

    Tumia akili yako kwa upana na usiongozwe na hisia zako finyu, Hotuba za Mwl. Nyerere ziliongozwa na uzalendo na upendo na sio hisia hasi kama zako.
  4. J

    Kardinali Pengo, Simama au na wewe staafu kama yamekuzidi...

    Hivi una akili timamu wewe? Huna haya kushangilia mauaji ya Mtumishi asiye na hatia? Kuna wakristu waliowahi kudhulu watu mwembechai? Ni kinanani? Kama wahalifu wana wajibishwa na serikali kwa uhalifu wao udini unatoka wapi? Wewe ukuuawa kwa sababu ya dini yako familia yako inaona nisahihi...
  5. J

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Habari wa JF Nadhani ni busara kujadili mada kwa uhalisia na kwa kujenga hoja. Si uuungwana hata kidogo kuacha kujadili hoja na kuanza kumjadili mtu. Kama kuna hoja ya MOU ya waislam kutokupewa nafasi ya kusikilizwa ni busara kueleza nini kilijili hadi ikawa hivyo ( na wenye kujadili sharti wawe...
  6. J

    CRDB wanarecruit lini?

    Kwani we ni mchaga mbona unauliza nafasi za kazi crdb.
  7. J

    TRA online job application

    Ungekuwa mchaga ungekuwa umeitwa kwenye usaili.
  8. J

    Sheikh Ponda akamatwa Dar!

    Shekh ponda na wenzake wote wanastahili kukamatwa na kuchukuliwa hatua stahiki ili kudumisha amani na utulivu mana amekuwa akiendeleza uchochezi kwa muda mrefu sana, na hiyo ni hatari kwa mustakabali wa nchi.
  9. J

    TASWIRA; Viongozi mbalimbali Washiriki Mazishi ya Baba Mzazi wa Tundu Lissu!

    Inatia moyo kuona watu wameitikia kuungana na wanafamilia kwenda kummpumzisha baba wa Lissu. Upumzike kwa amani Baba
  10. J

    TANZIA Bob Makani afariki dunia

    Binafsi, nawapa pole ndugu na jamaa wote wa familia ya mpendwa wetu na baba yetu MH. Bob Makani kwa msiba uliotufika. Tunaungana kumwombea kwa mungu, Baba yetu ili ampumzishe mahali pema peponi. La muhimu kwetu tuliobaki ni kuendeleza kwa matendo yale yote aliyotufundisha. Alikuwa imara...
  11. J

    Mkimgusa Edward Lowassa mtasahaulika katika siasa za Tanzania!

    Wewe ni msemaji wa EL? Unahitaji ushahidi upi zaidi ya ambao umekuwa ukitolewa tangu mwaka 2008?
Back
Top Bottom