Recent content by JT Msafiri

  1. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio Tanga tu, hata Mbeya wanajua mapenzi

    Gwe, ukiona nang'ata ng'ata tujani ujue nimekubalii.
  2. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    Hii imetulia sana.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

    Fanya hiyo biashara iliyokupa milioni 270
  4. J

    JamiiForums Tanzania Katie Gee, "A Muslim woman just hit me in the street for singing on Ramadan. Is that normal?

    Haijatulia wala nini. Mirungi ni ILLEGAL, kula wakati wa mfungo siyo illegal. Usenge ni illegal wakati wa mfungo au la, lakini kila ------ akimwagiwa acid tindikali tungesikia tu maana ni wengi sana. Ukienda utawaona.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Sakata la Sheikh Ponda lisifanyiwe siasa!

    Madaktari watuambie chances of survival from gunshot wounds to a chest experienced by a 60 years old male (nimekadiria) akiwa mafichoni. Kama kweli watu walishuhudia kilichotokea basi tumia google kujua, kama siyo hili kuna watu wanajaribu kutengeneza mchongo ili tuamini miujiza ya kiimani imetokea.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Sakata la Sheikh Ponda lisifanyiwe siasa!

    Nadhani anamaanisha hiyo ni isolated incidence haihusiani na polisi kwa sababu polisi wameshatoa maelezo kama walivyotoa katika matukio ya iringa, arusha na kwengineko.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Wazanzibar wafunguka kuhusu Dr. Slaa; Wamesema hana sifa za kuwa kiongozi bora!

    Kuhusu hii ishu ya kuchukua mke wa mtu naona watu wanaifanya ishu sana (hata kama ni kweli). Kama hii ni kigezo cha kutokuwa kiongozi bora mbona viongozi wengi sana wapo madarakani na wanafanya uchafu wa ajabu zaidi ya huu? Naona watanzania tumezoea sana kufanywa wapumbavu. Yaani mnaona bora...
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mme hajiwezi kwenye tendo la Ndoa

    Kama ndoa ni ya kidini mmeshatafuta suluhisho la kidini? Aombewe sana huyo mtu labda huko kusini kuna mahali alipita (muulize vizuri). Siyo mnawahi tu "aende tanga wiki mbili..." ......"enyi wenye imani haba...."
  9. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini ndoa za mabosi wengi wa kike zina migogoro na pia hazidumu?

    sababu ni nyingi na hazilingani. Ila moja wapo ni akili ya MFUMO DUME ambayo wanaume wanayo. Fikiria umejaa mfumo dume akilini halafu huna mpunga kama wife. We fikiria halafu unipe jibu
Back
Top Bottom