Kwanza nawasalimu!
Hivi ni katiba gani inaandikwa kwa ushindani?
Je kama rasimu ni fake? Je BMK ni halali? Rasimu ipi wanaijadili?
Je Kikwete aliruhusu vipi rasimu tena kwa kuisign kama ni fake? Au walitafuta namna ya kuhalalisha njama zao za kuboresha katiba ya zamani kwa michakato hii...
From what i see ukiwauliza maana ya uzalendo hawajui kabisa, na kwamini waliimba pia hawajui utasikia mi nilimbiwa na mchizi wangu diamond tupige hii ngoma nikaingia studio
Tanganyika and Zanzibar
Tanganyika was admitted to the UN on 14
December 1961, and Zanzibar was admitted to
the UN on 16 December 1963. Following the
ratification on 26 April 1964 of the Articles of
Union between Tanganyika and Zanzibar, the
two states merged to form the single member...
Na mdada unataka nini huko CCM, Unatafuta mme au? wengi waume za watu, usije ukazeekea kulamba miguu ya watu, fanya kazi kadri umri unavyokuruhusu, acha majungu.
uwiiiiiiiii! Ndivyo alivyokuwa akilia mama mmoja aliyefiwa na mumewe. Baada ya mazishi nilishangaa kadakwa na polisi nikauliza kulikoni? Nikaambiwa kamwua mme wake sumu aliyoiweka kwenye bia. mtoto katoa siri kuchunguzwa ikawa kweli. ndo kama wewe. Muibe nyie, mlie mnyie. MNAFIKI MKUBWA WEWE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.