Bodi ya mkopo inapokea maombi ya mkopo baada tu ya mitihani ya kidato cha sita kumalizika na wanatoa info baaada ya wiki kadhaa na sio baada ya matokeo ya mtihani kutoka tusipotoshane na mwisho wa kuapply ni june 31 nimejaribu kutuma pesa kwenye mpesa ya malipo yao lakini kuna stage moja kabla...
Naombeni msaada wana jamii jinsi ya kulipa kwa mpesa heslb kila nikifika stage ya kuandika reference number ambayo ni 1 inagoma inaniandikia hivi utility number is wrong
Kozi ya bachelor of science in environmental science and management pale ardhi inahusika na nini na jee ni rahisi kupata kazi.. ?? Msaada wako ndio hekima yangu kuchagua kozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.