Recent content by jrharakati

  1. J

    Bodi ya mikopo (HESLB) kunani??

    Bodi ya mkopo inapokea maombi ya mkopo baada tu ya mitihani ya kidato cha sita kumalizika na wanatoa info baaada ya wiki kadhaa na sio baada ya matokeo ya mtihani kutoka tusipotoshane na mwisho wa kuapply ni june 31 nimejaribu kutuma pesa kwenye mpesa ya malipo yao lakini kuna stage moja kabla...
  2. J

    Msaada wenu wana jamii katika hili

    Nashukuru mkuu kwa wwe ungemshauri akasomeee nni?
  3. J

    Naombeni msaada jinsi ya kulipia kwa mpesa kuapply mkopo

    Samahani mkuu kama ntakua nimekukosea nashukuru kwa kunijuza maana watu walinipanikisha wakasema tayr wameanza
  4. J

    Msaada wenu wana jamii katika hili

    Hataki education unamsaidiaje mkuu
  5. J

    Msaada wenu wana jamii katika hili

    Vi Vipi kuhusu project planning and management na Human resources
  6. J

    Naombeni msaada jinsi ya kulipia kwa mpesa kuapply mkopo

    Saw a nashu Na hii inayoonekana hapa ni ya wapi
  7. J

    Msaada wenu wana jamii katika hili

    Kozi gani ambazo mtu aliyemaliza HGL zinamfaa na zina soko kwenye ajira na mkopo uezekano wakupata
  8. J

    Naombeni msaada jinsi ya kulipia kwa mpesa kuapply mkopo

    Wameshaanza ila mbona bado inagoma mkuu
  9. J

    Naombeni msaada jinsi ya kulipia kwa mpesa kuapply mkopo

    Naombeni msaada wana jamii jinsi ya kulipa kwa mpesa heslb kila nikifika stage ya kuandika reference number ambayo ni 1 inagoma inaniandikia hivi utility number is wrong
  10. J

    msaaada wa haraka

    ivi kuna haki yoyote kuhusu Tra wakija kwenye makazi yako na kuchukua bidhaa na kuondoka nayo kisa haujakata leseni naombeni msaada kwa hilo
  11. J

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Kozi hiyo ya environmental and management science iko vipi ina ajira ??
  12. J

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Kozi ya bachelor of science in environmental science and management pale ardhi inahusika na nini na jee ni rahisi kupata kazi.. ?? Msaada wako ndio hekima yangu kuchagua kozi
  13. J

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Na bachelor of science in environmental science and management iko vipi mkuu..??
Back
Top Bottom