Recent content by jpbr

  1. J

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Chato, Geita - Septemba 20, 2015

    Mawazo ya mtu yaheshimiwe lkni binadamu kujivika kazi ya MUNGU si jambo jema kifo anapanga yeye uwezi jua nani atatangulia wala urais si taasisi ya kukikaribia kifo unayewaza hivyo jiulize tangu unaandika wamekufa wangapi? na walikuwa wazima ukipata jibu likusaidie kubadirika.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa ambalo waajiriwa wengi wanafanya na linawazuia kufanikiwa

    Ahsante kocha wangu lkn hata mie najituma sana hila bosi wangu ni mchina na haonyeshi kujali sasa nifanyeje?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Clouds 360: Taarifa za mitandaoni Yericko Nyerere na William Melecela

    Pless conference
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mke wangu asipomchangua Zitto Zuberi Kabwe, ujue umeachika

    Uhuru wa mawazo
  5. J

    JamiiForums Tanzania Lowasa akiwa kwa mganga wa kienyeji

    Hata mganga wa kienyeji ni mpiga kura na mtanzania ana haki ya kutembelewa.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Naamini Lowasa utatembelea kwenye jela za Keko na Segerea ukalale japo kwa usiku mmoja tu

    Sifikiri ktk hili mada yako imejikita ktk kuelimisha ila ushabiki mabadiriko yanakuja hakuna wa kuyazuia .changes is now
  7. J

    JamiiForums Tanzania YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    mbwembwe za nini watanzania wengi kwa sasa wanajitambua tusubili siku ya hukumu 25 october kama haki itatendeka mabadiliko yapo
  8. J

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu utaratibu wa kudai mkataba kwenye kampuni

    Sisi wafanyakazi wa Sinohydro Tunduru tunafanya kazi bila mkataba tangu mradi huu uanze.
Back
Top Bottom