Recent content by Jozi 1

  1. J

    JamiiForums Tanzania Maneno 'HAPA KAZI TU' yaondolewe kwenye mali za nchi, yanatia aibu na wala hayana maana yoyote

    Hwbu acha maneno unajua hizo ndege zilinunuliwa kwa bei gani na kwa bajeti ipi iliyopitishwa a bunge.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu amegundua nguvu ya Hayati Magufuli

    Hicho kitabu ni cha wakati ma kinaongelwa kipindi yesu hajazaliwa
  3. J

    JamiiForums Tanzania KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

    Awaombe radhi kwa kosa gani alilowafanyia? Mbona kosa alilofanya halisemwi??
  4. J

    JamiiForums Tanzania KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

    Aombe radhi kwa kosa gani ambalo halisemwi? ha ha ha
  5. J

    JamiiForums Tanzania KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

    Mpaka sasa hujaeleza Mchungaji Kimaro kavunja kamuni gani ya kanisa na wala hujasema kosa lake alilofanya mahali popote. Acha roho mbaya.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Luhanga Mpina kuhamia upinzani 2025. Lipo lengo maalumu linapangwa

    Yaani yule yulealiyetupimia samaki kwa rula na kutaifisha mabasi yetu kisa abiria ana samaki wawili wa mboga? Hafai kabisa. Kama kuna shida anatakiwa kusema sasa hivi na kuirekebisha sio kusubiri kusema ili ajinufaishe kisiasa. Mtu wa namna hiyo hatufai
  7. J

    JamiiForums Tanzania Makonda: Ghalib usinilazimishe kusema uozo wako, achia mali yangu. Walioko nyuma yako nawajua

    Uozo wa Ghalib hausiani na wewe kupora kiwanja. Kama ulikua unaujua uozo waks ulipaswa kisheria ukaseme kwa vyombo vya dola. Wewe Makonda kukaa kimya ni makosa kisheria. Kaogeleew kwenye huo uozo ufurahi. Rudisha kiwanja cha watu nadala ya kutoa vitisho
  8. J

    JamiiForums Tanzania Arusha: Lengai Ole Sabaya afikishwa Mahakamani kwa Uhujumu Uchumi, Utakatishaji Fedha

    Usiniite Bwege elimu yangu ya sjeria huijui. Kama Mahabusu hatakiwi kukaa zaidi ya wiki 2 sasa kuahirisha kesi kwa wili 2 wamekosea wapi Kisheria? Acha ufala
  9. J

    JamiiForums Tanzania Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

    Picha zimekaaje juu ya Mhuri?
  10. J

    JamiiForums Tanzania How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

    Loh..utabiri wa hali ya juu. Au ulijua mambo haya!
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rais mtoe IGP Sirro, Watanzania hawamuamini

    Wewe ndio umejigeuza kuwa watanzania wote aio
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hakika hata Magufuli hakuutendea hivi upinzani, Kama Mbowe anapewa kesi ya ugaidi itakuwaje kwa raia wa kawaida?

    Makamanda mmeanza taratibu kumkumbuka na kumsifu Magu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu ni uthibitisho wa ubovu wa Katiba ya 1977

    Ulienda kulinga uteuzi wa Majaliwa Mahakama Kuu? Unapiga kelele tu hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Hatutakubali Bunge lililopo litengeneze Katiba Mpya

    Watashangaa na masharti yao
Back
Top Bottom