Recent content by jozee wa odera

  1. J

    Treni mpya(Deluxe) yapata ajali Ruvu mkoani Pwani ikitokea Kigoma

    Poleni sana Mungu awape wepesi ktk kipindi hiki kigumu
  2. J

    PHOTOCOPY INAUZWA

    Canon 2420 Photocopy inauzwa ni Mpya ipo Dsm kinondoni biafra ina miezi 5 tangu inunuliwe na haina tatizo lolote kwa anayeitaji tuwasiliane kwa 0714803551
  3. J

    Barua kwa Azam TV

    Mkuu nisaidie kujua hizo zingine unazionaje
  4. J

    Barua kwa Azam TV

    Mimi nimelipia kifurushi cha 15,000/- azam plus kupitia M-pesa ambapo ni channel 50, kama matangazo yao yanavyojinadi lakini nashangaa , wamenifungulia channel za kenya, citizen, k24 , ktn na baadhi za uganda channel zingine hazijafunguka naombeni msaada nipo kimara temboni mwenye namba ya agent...
  5. J

    Picha: Mrembo wa Kitanzania aliyekamatwa na heroin China

    China hakuna mchezo ebu ngoja tuangalie hatma yake, mafanikio ya haraka sio mazuri
  6. J

    Msaada Natafuta past papers za EGM za national exams

    jamani msitukanane, nadhani mleta mada hukufunguka vzr toka mwanzo, nenda shule iliyo karibu ya A-level muone mwalimu wa taaluma jieleze atakusaidia
  7. J

    Mmmh wanaume mtatuua mwaka huu katika mapenz

    pole sana kwa hilo lililokupata, mi nakushauri vuta subira halafu umuulize umenisave vp kwa phone yako then utaona atakavyojibu ukiona anakuwa mkali au analeta porojo kibao ujue mko wengi so ujue kuwa ww ni sexmate wake tu na hakuna lolote kwa baadae
Back
Top Bottom