Hakuna atakaye jiuzulu,huo ni mpango wa ccm na serikali yake kuua upinzani,na wapinzani nchini.ndo maana sshivi polepole anaharisha kwa mdomo, kwamba basi alilo uwawa Akwilina lilikodiwa na Chadema,akijua yupo juu ya sheria,ccm ikiwa nyumayake na magu mbele yake. Hawa nikuwatokea tu kitaifa na...