Kupata commission ndogo au kubwa kunategemea mzunguko wako, jinsi watu wanavyotoa na kuweka ndivyo unavyozidi kuongeza commission, kama utakuwa kwenye mzunguko Mkubwa Laki mbili ni ndogo sana au ukubali kupata commission ndogo mwisho wa mwezi! Kumbuka kuwa mtu akija kutoa hela nyingi ndivyo...
Nafikiri bado hujaizoea lakini ukishazoea itakuwa bora sana kwako! Achana na njia nyingine ambazo hutokeza madhara baada ya muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu njia nzuri na isiyokuwa na madhara ni kumwaga nje wakati wa tendo la ndoa! Hii njia ni nzuri sana ingawa ni ngumu kidogo kuitumia na inahitaji ushirikiano wako na mkeo/mpenzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.