Recent content by jovin malima bulemo

  1. J

    Sarafu mpya ya BRICS ina umiliki wa Nchi moja wapo au ni mfano wa Sarafu ya EURO ya Ulaya? Itashindana vipi na Dollar isiyo na mipaka wanachama?

    Ni hivi karibuni kulikuwa na makubaliano ya mpango wa kupitisha SARAFU ya MUUNGANO wa nchi 5 zenye UCHUMI mkubwa ktk G-20, KUBUNI SARAFU ili kuto tegemea SARAFU ya marekani( dollar) *Je wataweza kupambana na vikwazo kutoka kwa marekani?. * itakuwaje Kama mpango ukifanikiwa Kuna faida yyte...
  2. J

    Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa nchi wanachama hawatimizi hoja za kimuungano 100%. Sababu ni nini?

    Niwasalim kwa jina la (J.M.T) ktk umoja huu wa E.A.C Kuna hoja nyingi za KIMUUNGANO mfano: DHIMA YA KUUNGANISHA NCHI WANACHAMA UHURU WA KIBIASHARA ISIYO NA MIPAKA. * Tumeona nchi WANACHAMA Wana zuia bidhaa nchi moja kwenda nyingine sababu wanazotoa Ni Kama mpaka uwe na kibali maalum * Mfano...
  3. J

    Kuna sababu ya kufupisha muda wa ajira serikalini ili kuto fursa za ajira kwa wimbi kubwa lililo mtaani?

    Kadri miaka inavyo zidi kwenda kunakuwa na ongezeko kubwa la wimbi la vijana wanao tafuta ajira. % kubwa wengi wanapata ajira wamesha choka miaka ya 35-40.... hapo ana ambuliatu Ela ya kustaafu Hoja ya msingi serikali ungekuja na mpango kupunguza muda wa kuajiriwa ikawa miaka 10, Kama ilivyo...
  4. J

    Inahusu wanawake wote siyo wasichana, tunaomba majibu

    Ukewenza ni sababu ya kuleta ushindani katika maendeleo ya familia, ushindani katika upendo kwa mume, na kutunza watoto Umoja, ushirikiano katika shida na raha, kujaliana na ku uguzana. Kama unakubaliana na hili ongezea sabubu zako, Kama unapinga hili toa sababu zako.✍️
  5. J

    Wanaume naomba mnijibu tafadhali

    Familia Familia nisawa na taasisi ambayo inamifumo ya mapato matumizi akiba mipango malengo, I.e, Familia misingi yake ni mahitaji endelevu pasipo sababu yyte ya ugonjwa au loos ktk kipato, * Ninamaanisha niheri mume atoe matumizi kulingana na kipato, mahitaji yaliyo ktk badget *Matumizi ya...
  6. J

    Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

    Biblilia na kumbukimbu zinaeleza kifo utenganifu wa roho na mwili, fikilia kawaida roho nikama flash Ina detail zote, na kwa mujibu wa vitabu Kuna ulimwengu wa roho , ngoja Nile Kwanza nakuja kuendelea. Karibu
  7. J

    Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

    Zamani, ktk kumbukimbu za historia walikuw Wana andikwa tu uzawa wa kiume hivyo inasadikika Adam alizaa Wana wakike ambao wali kuja kuoana na kaka zao wakaendeleza uzao chini ya just🙏🙏
Back
Top Bottom