Recent content by jovetha

  1. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Kibaya zaidi ni kuwa na watoto wa baba tofauti
  2. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Ahsanteni wote kwa mawazo yenu,Mbarikiwe Sanaa,Kuna mtu amejitokeza kunipa MSAADA wa kisheria.Mbarikiwe sanaa
  3. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Ahsante Mkuu nitafanya hivyo nitakuja humu kuwapa mrejesho
  4. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    So sad, he was the perfect man ever but suddenly Kila kitu kikabadilika
  5. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Hahahaha anaye ni Mzee asiyependa maugomvi at least ni mtu pia amabaye Huwa ananijulia hali mara kwa mara lakini pia kwasabu Ile ni familia yake sidhani kama anaweza kuwa upande wangu.
  6. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Sidhani kama ni mshirikina ni mtu wa kanisani sana likini pia uwezo wake ni wakawaida tu tu kwasabu ni msataafu ila anayelipa legal feee ni mme wangu
  7. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Kesi ya Talaka ilikuwa Temeke as for now Kuna Mahakama inayoshukulikia maswala ya Talaka na mirathi ni separate ni hizi mahakama nyingine
  8. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Nina degree. Nipo Dar es Salaam, Wilaya ya Ubungo
  9. jovetha

    MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

    Naombeni msaada wa mawazo maana nahisi nitakufa kwa mawazo ila ninajikaza. Mimi ni mama wa miaka 30 Nina mtoto mmoja, nina ndoa ya kimila. Nampenda sana mme wangu lakini tumekuwa hatuna maelewano mazuri mimi na yeye kwa sababu ni mtu wakusikiliza ndugu na pia ni mtu ambaye anaona mawazo ya ndugu...
  10. jovetha

    Burial benefits

    [emoji56]
  11. jovetha

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Plz check 0653321915 nataka kujua zaidi kuhusu jinsi ya kuoder mzigo na hizo process za ushuru
Back
Top Bottom