Hahahaha anaye ni Mzee asiyependa maugomvi at least ni mtu pia amabaye Huwa ananijulia hali mara kwa mara lakini pia kwasabu Ile ni familia yake sidhani kama anaweza kuwa upande wangu.
Naombeni msaada wa mawazo maana nahisi nitakufa kwa mawazo ila ninajikaza. Mimi ni mama wa miaka 30 Nina mtoto mmoja, nina ndoa ya kimila. Nampenda sana mme wangu lakini tumekuwa hatuna maelewano mazuri mimi na yeye kwa sababu ni mtu wakusikiliza ndugu na pia ni mtu ambaye anaona mawazo ya ndugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.