Mkuu, ni upi usalama wa kulipa Aliexpress na Amazon kwa kutoa details zako za bank account?
Mifumo yote ni salama.

Alipay na Amazon Pay - Ni mifumo salama itumiwayo na aliexpress (alipay) na Amazon (amazon pay) kufanya manunuzi.

Ambapo mnunuzi unaweka taarifa zako za card na malipo yanafanyika kiusalama kabisa.

Kwa mifumo yote miwili, Seller hapewi fedha hadi pale wewe mnunuzi utakapo thibitisha kuwa umepokea mzigo
  • Iwapo mzigo hujapokea REFUND hufanyika na fedha inarudishwa kwenye kadi husika.
 
Mifumo yote ni salama.

Alipay na Amazon Pay - Ni mifumo salama itumiwayo na aliexpress (alipay) na Amazon (amazon pay) kufanya manunuzi.

Ambapo mnunuzi unaweka taarifa zako za card na malipo yanafanyika kiusalama kabisa.

Kwa mifumo yote miwili, Seller hapewi fedha hadi pale wewe mnunuzi utakapo thibitisha kuwa umepokea mzigo
  • Iwapo mzigo hujapokea REFUND hufanyika na fedha inarudishwa kwenye kadi husika.
Appreciated Mkuu.
 
Mifumo yote ni salama.

Alipay na Amazon Pay - Ni mifumo salama itumiwayo na aliexpress (alipay) na Amazon (amazon pay) kufanya manunuzi.

Ambapo mnunuzi unaweka taarifa zako za card na malipo yanafanyika kiusalama kabisa.

Kwa mifumo yote miwili, Seller hapewi fedha hadi pale wewe mnunuzi utakapo thibitisha kuwa umepokea mzigo
  • Iwapo mzigo hujapokea REFUND hufanyika na fedha inarudishwa kwenye kadi husika.
Naomba namba ya simu kuna kitu nataka kuagiza u.s.a
 
Naomba namba ya simu kuna kitu nataka kuagiza u.s.a
Mawasiliano yako hapa www.bit.ly/101buy4me post ya kwanza
upload_2018-2-22_8-53-36.png
 
wakuu nataka niagize bidhaa kutoka alliepress, sasa changamoto imekuja kwenye malipo ya bidhaa ,bytheway mimi nina crdb card tu
kwa wajuzi wa haya mambo nisaidieni niopoe mzigo nje kwa mara ya kwanza kabisa mmi nina crdb card
 
Hivi Mkuu Mwl RCT sasahivi gharama ya ku-import vitu toka nje haijapanda sana maana naona magu amaebana vitu vingi sana hapo bandarini + sera yake ya v wonder nahisi ndio itakuwa balaa zaidi. Hali ikoje sasahivi???
 
Hivi Mkuu Mwl RCT sasahivi gharama ya ku-import vitu toka nje haijapanda sana maana naona magu amaebana vitu vingi sana hapo bandarini + sera yake ya v wonder nahisi ndio itakuwa balaa zaidi. Hali ikoje sasahivi???
Inategemea mzigo na mzigo.
 
Naombeni kujua ni platform zipi naweza agiza bidhaa online na kulipia kwa kutumia mpesa, tigo pesa apa Tanzania tofauti na kikuu.com
 
Je kama hauna postal,ni njia gani nyingine ya kutumia kwa gharama nafuu sawa na posta ili mzigo ukufikie?

Wanasema mizigo mingi ikifika pale posta uibiwa, je ni kwel?

Je utaratibu wa kujua ushuru wa kitu ulichonunua au unachotaka kununua, uko vipi?

Je mzigo ukiibiwa pale posta, hela yko utarudishiwa?
 
Back
Top Bottom