Recent content by joumer

  1. J

    Msaada wa kujiunga na ualimu serikali

    Habari za siku wana jamii? Mmi nimesoma digrii ya sayansi ya kompyuta nina uwezo wa kufundisha physics na mathematics nataka niingie serikalini. Naomba msaada wenu jinsi ya kujiunga na shule za serikali.
  2. J

    Msaada wa jinsi ya kuanzisha chuo cha mafunzo ya ualimu wa chekechea

    Habari wanajamii Naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa jinsi ya kuanzisha chuo cha ualimu wa chekechea. Vitu gani vinavyohusika katika uanzishaji n.k Vyuo hivi huwa chini ya taasisi gani (VETA, NACTE, NECTA n.k) Natanguliza shukrani.
  3. J

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Ahsante kaka pamoja tujenge taifa na vijana tujiajiri na tusingoje kuajiriwa. Sekta ya kilimo inalipa. Nitakutafuta soon.
  4. J

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    ahsante. Soon nitakucheki kaka
  5. J

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    kaka shukrani sana. naweza kupata mawasiliano yako?
  6. J

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Habari za muda huu wanajamii. Namshukuru Mungu kwa kunitia nguvu,akili na afya. Nimebahatika kununua shamba katika mkoa wa Morogoro. Nataka kuanza kilimo cha matikiti maji. Wanajamii naomba kama kuna mtu anafahamu vizuri juu ya kilimo cha matikiti maji. Naomba kujulishwa juu ya: a) Msimu wa...
  7. J

    Mwalimu wa IT, Physics na Mathematics natafuta kazi

    Habari wapendwa. Mimi ni Mtanzania ambaye nimebahatika kumaliza elimu ya Sayansi ya Kompyuta (BS CS) katika chuo kikuu kimoja hapa Tanzania. Mimi siyo mwalimu kwa taaluma (professional) ila nimekuwa katika tasnia ya elimu kwa zaidi ya miaka mitano nikifundisha masomo ya Physics na...
  8. J

    Flora:Mumeo mumeo tu anaitaji msamaha .mengine yabaki Historia

    Flora kaishanogewa na swaga za kitandani na mchungaji hawez kukuelewa.
  9. J

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Nashukuru kwa kukubali kuwa Gwajima kamvua flora chupi. Ahsante ndugu.
  10. J

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Kweli GWAJIMA kadata na F.MBASHA, licha ya kumgegeda ila bado anamng'ang'ania aendelee kumgegeda. Au mbasha ana swaga sana kitandani?
  11. J

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Gwajima hajavuliwa nguo. Ila kamvua chupi F.MBASHA.
  12. J

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Mwigira, Gwajima, Mbasa, Bukuku wote wazinzi.
  13. J

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    Kumbe na ww msukule wa mzinzi Gwajima. Bs hongera.
Back
Top Bottom