Recent content by Jossiah kisanga

  1. J

    Askofu Mwamasika: UKAWA sawa na muunganiko wa Walevi

    chanzo......UHURU. mi nimepita tu akili kichwani huhitaji kwenda shule . .
  2. J

    Chatanda: Tundu Lissu lazima ang'oke!

    kama alimshindwa lema atamweza lisu?
  3. J

    Taarifa kwa umma kutoka makao makuu ya ACT-Tanzania

    sasa mbona mnawapinga wenzenu kwenye katiba au mnasoma upepo wa wananchi. hongera ccm b.
  4. J

    Utafiti: Wanachama wengi wa CHADEMA ni watu waliokata tamaa ya maisha

    sasa mbona unatoa comment na kujijibu mwenyewe unataka kuniambia kufeli watoto ni matokeo ya cdm? huku watoto wenu nyie ambao hamjachoka wako ulaya masomoni. vitu vingine muwe mnafiliria kwanza kabla ya kuleta jamvini. watu wote c wajinga km mnavyodhani. sera nzuri ndio zinabadili maisha ya watu.
  5. J

    UKAWA wavurugana kugombea majimbo

    vp mkuu huna kazi za kufanya?
  6. J

    Rais Kikwete atunukiwa u-profesa na Rais wa China

    Hiyo kaaali sana u dr. Wenyewe una mashaka. Hingera prof. Kikwete
  7. J

    Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

    kwan kesi ngap mmefungua na hakuna ht moja mmeshinda mtu hawezi kukurupuka na kuongea kitu bila ushahidi. ok. tusubiri
  8. J

    Tanzania imetoa vyeti vya uraia kwa wakimbizi wa Burundi zaidi ya laki moja

    wanatafuta nyongeza ya wapiga kura maana huko tabora sitta kachafua watu
  9. J

    Ombi kwa Mheshimiwa Halima Mdee

    hii nchi imechoka kuanzia viongozi hadi wananchi. utakuta mtu anatetea upuuzi km huu utadhani yeye haimhusu hata ndg yake tu yanaweza kumkuta. ingekuwa nchi zenye kufuata sheria wangefuatilia lakini kwa vile ni mpinzani... tupa kule.
  10. J

    Kikwete: Chagueni kijana kunirithi

    au anamtaka kigwangala nini. kha hapo ni kazi au anamwogpa slaa kwa jinsi alivyomburuza.
  11. J

    Aibu nyingine kwa CHADEMA

    ohhh. kumbe mtela. haya bwana mi napita tu.
  12. J

    Saini ya kutokuwa na imani na rais zaitajika, Ben Saanane aratibu upatikanaji wake

    vp ndg yangu na wewe umepewa mgao? maana nashangaa unafurahia jinsi nchi yako inavyomegwa kisera then ww unapiga makofi.
  13. J

    Butiku: Mwisho wa CCM miaka 10

    leo kinana kasema ccm wanachukiwa sababu ya rushwa. kasahau ufisadi nk.
Back
Top Bottom