sasa mbona unatoa comment na kujijibu mwenyewe unataka kuniambia kufeli watoto ni matokeo ya cdm? huku watoto wenu nyie ambao hamjachoka wako ulaya masomoni. vitu vingine muwe mnafiliria kwanza kabla ya kuleta jamvini. watu wote c wajinga km mnavyodhani. sera nzuri ndio zinabadili maisha ya watu.
hii nchi imechoka kuanzia viongozi hadi wananchi. utakuta mtu anatetea upuuzi km huu utadhani yeye haimhusu hata ndg yake tu yanaweza kumkuta. ingekuwa nchi zenye kufuata sheria wangefuatilia lakini kwa vile ni mpinzani... tupa kule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.