MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
Last edited by a moderator:
By the way nguvu na kiburi cha huyu mama ilikua ni Lowassa kule Arusha. Lowassa hayuko Singida. Pia ikumbukwe wabunge wengi wa Chadema ni wabunge wa taifa zaidi kuliko majimbo. Watu wako tayari kusafiri kwenda Singida kulinda kura za lissu tu.
Lisu siyo wa nguvu nyingi kumuondoa mwepesi sana wakati ukifika mtayaona.
Lazima ang'oke kwa sababu Zipi? Katiba ya JMT Inasema Kwamba mbunge ni mwakilishi wa watanzania, sio wa jimbo lake tu. Je mama Huyu anajua ni mangapi lissu amewafanyia watanzania bila ya kujalisha itikadi zao? Ni Kwamba tu akili Zetu zinaendeshwa na matumbo badala ya ubongo, hivyo kushindwa kuona mambo rationally and objectively. Pia ni Kwamba we are taking things for granted kwasababu tunaishi ndani ya mabadiliko, Vinginevyo lissu ameshaingia Katika vitabu vya historia na Hakika jina lake litatajwa sana miaka mingi ijayo nchi hii itakapokuja kombolewa kutoka kwa mafisadi na manyang'au wasio heshima Sheria na Haki za wananchi. Hata Kama itakuja kuwa mwaka 2090, lissu atajadiliwa kama mashujaa wa harakati hizo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe hujuwi unachokiandika Kwani Tundu Lissu ni mbunge wa Iramba Magharibi? Lissu ni mbunge wa Singida Mashariki kwani Iramba Magharibi kwa sasa Iramba ni Mh Nchemba! Na Singida Magharibi jirani na Lissu ni Mh Misanga!Hatimae aliekuwa katibu wa CCM mkoa wa Arusha na kuhamishiwa Singida, Mary Chatanda, ametua mkoani humo na kutangaza kuongoza vita kali ya kuhakikisha Mbunge wa Iramba (M) - CDM Mhe, Tundu Lisu anang'olewa katika uchaguzi Ujao.
Itakumbukwa Mama huyu ndio yule aliyeshindwa vibaya sana katika vita ya aina hii hii dhidi ya Mbunge wa Arusha Mhe, Lema wakati akiwa mkoani humo.
Haya sasa vita inahamishiwa Singida.
Hatimae aliekuwa katibu wa CCM mkoa wa Arusha na kuhamishiwa Singida, Mary Chatanda, ametua mkoani humo na kutangaza kuongoza vita kali ya kuhakikisha Mbunge wa Iramba (M) - CDM Mhe, Tundu Lisu anang'olewa katika uchaguzi Ujao.
Itakumbukwa Mama huyu ndio yule aliyeshindwa vibaya sana katika vita ya aina hii hii dhidi ya Mbunge wa Arusha Mhe, Lema wakati akiwa mkoani humo.
Haya sasa vita inahamishiwa Singida.
Hujui unacho kisema. Huyu mama hakuwa na Lowassa bali alikuwa adui namba moja wa Lowassa. Lakini walimchosha akachoka. Singida ndiyo ataipata fresh kwa mpingo Lisu.
hatimae aliekuwa katibu wa ccm mkoa wa arusha na kuhamishiwa singida, mary chatanda, ametua mkoani humo na kutangaza kuongoza vita kali ya kuhakikisha mbunge wa iramba (m) - cdm mhe, tundu lisu anang'olewa katika uchaguzi ujao.
Itakumbukwa mama huyu ndio yule aliyeshindwa vibaya sana katika vita ya aina hii hii dhidi ya mbunge wa arusha mhe, lema wakati akiwa mkoani humo.
Haya sasa vita inahamishiwa singida.