Sawa nikweli lazima tukubaliane kama wadogo zetu wananyanyasika ughaibuni nataka kuuliza kwamba kwanini pasikwe utaratibu wa hawa watu kustaki na kufuatiliwa kwa ukaribu kufaham hali zao?
Kwamimi navyojua mkuu ni kwamba barua huwa haizidishi miezi 3.kwamaana hiyo we mtume huyo mjumbe akawaambie2 mambo ya mali mungu atafungua njia amini hivyo2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.