Recent content by Jossephat

  1. J

    Manyanyaso ya Waarabu kwa mabinti wa kazi za ndani

    Sawa nikweli lazima tukubaliane kama wadogo zetu wananyanyasika ughaibuni nataka kuuliza kwamba kwanini pasikwe utaratibu wa hawa watu kustaki na kufuatiliwa kwa ukaribu kufaham hali zao?
  2. J

    Nipeni msaada juu ya hili

    Wakubwa nisaidieni kwamba ni kwanini watanzania walio wengi hawazijui haki zao kwa namna mbalimbali hii inakuwaje?
  3. J

    Wazoefu naombeni mwongozo

    Kwamimi navyojua mkuu ni kwamba barua huwa haizidishi miezi 3.kwamaana hiyo we mtume huyo mjumbe akawaambie2 mambo ya mali mungu atafungua njia amini hivyo2
  4. J

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Nimeelewa sana
Back
Top Bottom