I possess a Computer Science degree and am actively pursuing employment or internship opportunities in any organization. My experience includes web and mobile development, system administration, network and database management.
Habari zenu wana-technologia!,
Nahitaji kuIntergrate Mobile Application yangu na Mfumo wa malipo, ikiwa namaanisha mteja aweze kulipia kwa mfumo wa USSD.
Naomba msaada nifanye nini?
Natumia framework ya Flutter kudevelop
sim yangu niki play youtube au nikifungua app ya youtube inaniandikia "there is no network right now, please try again later "hivo ndivo inavo andika na nimejaribu kila namna nimeshindwa wakati Internet ipo vizuri na ninafungua kila kitu kasoro kuplay video tu na mwanzo ilikua haisumbui...
Habari zenu wakuu!!!!!! naomba msaad, simu yang niki share INTERNET toka kwenye laptop(window 7) inasoma lakin kila nikifungua internet kwenye simu, ina andika DNS FAILED, kwana tatizo ni nini? au nitumie njia ipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.