Kumekiwa na hili wimbi la watu fulani kufurahia wale mahasimu wao wanapopatikana na matatizo na kuzionyesha hisia zao mitandaoni ; jambo hili sio geni kabisa , nna hakika wote tuna maadui zetu ama hata wale ambao hatukudhani kuwa ni maadui kwa nyakati tofauti walishatuonesha kutudhihaki...
Kwahiyo mulimtosa, ama lile " Joka likatalo" liliwasaidia freemason kumkatilia mbali,
Maana hizo pesa wanazowapa wasanii wenu maarufu wafanikiwe haraka haraka si ni kodi zetu wanazoiba freemason waliopo serikalini , kamwe hawafuji mapesa ya miradi yao binafsi, sasa yeye alitaka awapige pin...
Hili movie wakuu mnaliendeleza hamuogopi [emoji2], ina maana timu yao ianze kutafuta goli la pili sio, ama timu yenu inajiandaa kuwatandika jingine juu kwa juu,
Hapo huyu jamaa anamaanisha nn , mm nimemuelewa kwa namna fulani kuhusu yaliyompata mwendazake ila wana forum wenye kuuelewa zaidi huu mstari tunaomba muudadavue zaidi tafadhali maana ni mstari wenye tafasiri zaidi ya moja , hapo kaonyesha ukomavu wa fasihi kwa kuiachia hadhira ijiamulie kuelewa...
We ni illiterate namba moja kabisa, yaani wakati veterans wa vita vya iraq na afghanistan sasa hivi wanaungana huko marekani wanaita press wanaongea ukweli na kuzitupa medani walizotunikiwa bado we lofa hapa Tanzania unapinga tu,
Wakati wazazi wanaungana na kuandamana wanaongea mambo yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.