Hv ninyi wtu wa ccm ubongo wenu umekufa? Hawa akina Lissu wamepiga kelele saana kuhusu mikataba mibovu hawakusilizwa tena mkawapga na kuwatoa nje sasa ulitaka wafanye nn? Kaz ya wabunge wa ccm ni Ndyoooo huyo Magu mwnywe hajui lolote yy anajua nguvu tu hakuna uelewa si bora mngempa mh Kinana...
Nape amevuna alichopanda tangu mwnzo Napenda alitetea uovu au dhuruma wakafunga gori la mkono sasa uovu umemrudia Pole Mr Nape siku zote smama ktk haki na kweli
Hyu hajui lolote khsu nsfas ya urais anachojua anamadaraka bas hyu mtu ni wa ajaabu hv ccm nn kiliwasbu mpka wakamuamini kumpa nchi wakaacha watu wenye hekima na busara kibao Hakika watanzania tumeliwa hakuna bongo hapa
Limetimia akina mwkwembe wajinyonge. Sku zote tunawaambia wanannchi maamuzi yao wanaporwa hawatuelewi hata pangewekwa tume ya KIVUITU maamuzi ya mawakili wasomi wangeporwa Africa ni laana tupu hatuamini katka kweli na haki ni Mabavu kama wanyama wa mwitu Kuzaliwa Africa ni mkosi watu hawana hofu...
Kwa sasa ndo Lowassa ameongeza wafuasi kulko kpndi kilichopta hata mi nilikuwa mfuas wa dk Slaa lkn nimegundua hekima na busara za Lowassa na upendo kwa binadam nalazimika kumkubari hyo mh mbabe hata kwa bunduki staki kuona sura yke HOJA YA UFISADI HAINA MASHIKO KILA MTSNZANIA NI FISADI KWA...
Hv ninyi police huwa akili mnaziweka wpi kila kitu mnatumia ngvu Kwn hv vitoto si mngeviongoza vitoe dhamira zao kwa mamlaka huska? Kwnz ni aibu mzee mzma unakimbza katt ka form two Ndo maana tulizuia vboko vsivyo na staha shuln ss ninyi mnafanya ambayo nchi imekataa Hii kazi yenu nayo ni taabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.