Recent content by josephJPM

  1. J

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu mimi swali langu ni hili "IQ Option" inaanguia kwenye aina ipi ya broker kati zile mbili ulizozitajaa?
  2. J

    Taarifa: Uhakiki wa vyeti vya kidato cha 4&6 kwa Walimu na Watumishi wa Umma

    Ikumbukwe kuna watumishi walio kua kazini tayari walio pata cheque namba nakuanza kupokea mshahara mwezi mei wamesitishiwa mshahara kupisha zoezi la uhakiki. ..... sasa nimeizi 4 inaenda mitano uhakiki bado. .... hawa watumishi walishapanga nyumba na kuhamia vituo vya kazi na familia zao. ...
  3. J

    Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    Miezi inakatika na pango la nyumba niliyochukua limeshakwisha sasa... watuone huruma hata sisi tulioanzakupokea mshahara maana tulishapanga nyumba na kuhamia vituo vya kazi...
  4. J

    Hili nalo lina TIJA kwa Vijana wasio na ajira?

    amestopisha mshahara toka mwezi wa 6 sababu ya uhakiki... hivi mweshimiwa unategemea mimi nitaishi vipi huku kituo changu cha kazi...sina ndugu na madeni yameshakuwa mengi sasa... bora ungekua mkweli tu zoezi litachukua muda zaidi hivyo turudisheni familia nyumbani... ona sasa ulituahidi miezi...
  5. J

    Kuna aliyeitwa interview Tume ya utumishi wa Mahakama

    SERIKALI imewaondoa watumishi hewa 17,201 katika utumishi wa umma, ambapo licha ya kupokea mishahara pia mikopo mingi ilitolewa visivyo. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki alisema hayo jana mjini Dodoma wakati wa kuapishwa kwa...
  6. J

    KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Nivyema wangetangaza kabisa tu kama vijana ajira kwa sasa hakuna mpaka baada ya muda flani... Poleni kwa usumbufu, kuliko walivyoka kimya wakati muda waliojiwekea umeshapita.
  7. J

    Ajira ameshindwa kuajiri anasingizia watumishi hewa

    NI BORA KUSEMA UKWELI KULIKO KUMSITISHIA MFANYAKAZI MSHAHARA WAKE KWA KISINGIZIO CHA WATUMISHI HEWA.... KAMA SERIKALI HAINA PESA ISEME UKWELI TU...HAINGI AKILINI MTU ULIYE MWAJILI MWEZI 4 NA AKAANZA KUPOKEA MSHAHARA MWEZI WA 5 UNAKUJA MSITISHIA MSHAHARA KWA KISINGIZIO CHA UHAKIKI WA WATUMISHI...
  8. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Nasema kweli kwani msemakweli ni mpenzi wa Mungu
  9. J

    Ajira za serikalini kwa uhakika zitafunguliwa lini?

    mkuu alisema hivi "Serikali ninayoiongoza haina nia ya kuwakatisha tamaa wafanyakazi, lengo lake ni kujipanga kwa makosa tuliyoyafanya, na ndio maana nimesema kwa kipindi cha mwezi mmoja hivi au hata mwezi mmoja na nusu, haitazidi miezi miwili, tusiajiri mtumishi yeyote serikalini’...
  10. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Na mimi nasema kweli kabisa. Nawaomba sana mniombee.
  11. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Kiukweli seriKali inajenga chuki kwa wananchi tu... nimbaya sana kumtesa mtu asiyekuwa na hatia... wengine walikua na malengo ila mpaka sasa hakuna tena future.. ni bora mtu ungebaki zako private...umeangaika kuhama kwenda kituo cha kazi kwa gharama zako mwenyewe... mtu unahamisha watoto...
  12. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    sio alisema zoezi litachukua mwezi moja na nusu, lakini halitazidi miezi miwili
  13. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Ki ukweli inaumiza sanaa... imekua nikama njia ya serikali kuvunja moyo watumishi badala ya lengo kuu ambalo lilikua uhakiki wa wafanyakazi hewa... mipango na ndoto mtu ulizojiwekea zote zimevurugika na mwaka ndio huo unaelekea ukingoni.... Imani imeshapotea kwa mwendo huu
  14. J

    Kwa watumishi waliositishiwa ajira kupisha zoezi la watumishi hewa

    Mimi ni pia nimeathirika na hili zoezi la uhakiki kama wewe... kwa sasa nipo huu kituo cha kazi nikiwa sina mshahara kwa muda wa miezi mitatu sasa na akiba yangu imekwisha... nina mke na watoto wawili wananitegemea, inaumiza sana kuona ahadi alioitoa Rais kuwa zoezi halitozidi miezi miwili...
Back
Top Bottom